Mapovu ya nini sasa mkuu...kama ni mawazo binafsi na wew toa yako sio kushambulia maoni ya mwenzako...Ficha Ujinga wako!!Huo ni mtazamo wa mtu mmoja
Usiwe na akili maji
Hata Wewe unaweza kuweka mawazo kwenye picha
Tatizo stress zimekujaa hata uwezo wa kufikiria unapungua
Na bundi hula panya1. Jamaa yuko kituoni peke yake, na kwa muonekano ni mtu mwenye mawazo sana.
2. Kituo cha basi alichopo ni porini na haieleweki kama kafika ama ndio anaanza safari.
3. Amevaa barakoa ambayo imemfunika mpaka macho kitu ambacho kinamfanya asione mbele kuna bundi.
Unforgetable
Mkuu mpaka mapapai yana kolona sasa tutaacha kuwa na stress?Huo ni mtazamo wa mtu mmoja
Usiwe na akili maji
Hata Wewe unaweza kuweka mawazo kwenye picha
Tatizo stress zimekujaa hata uwezo wa kufikiria unapungua
Agiza kolonya la balidi sana nitalipa1. Jamaa yuko kituoni peke yake, na kwa muonekano ni mtu mwenye mawazo sana.
2. Kituo cha basi alichopo ni porini na haieleweki kama kafika ama ndio anaanza safari.
3. Amevaa barakoa ambayo imemfunika mpaka macho kitu ambacho kinamfanya asione mbele kuna bundi.
Unforgetable
😂😂😂Bundi ni jiwe wanaosafiri ni watz
Hii picha ina maana nying Sana katika mzunguko wa kimaisha na huyo bundi Yuko ana maaana nying na si kila Aina ya bund Ni mkosi muelewe Hilo
🤔🤔🤔🤔
Kaliji aliyevaa balakonya haoniMacho ya huyo bundi yanatisha sana!
Msafiri ameshushwa kwenye ufukwe wa ziwa1. Jamaa yuko kituoni peke yake, na kwa muonekano ni mtu mwenye mawazo sana.
2. Kituo cha basi alichopo ni porini na haieleweki kama kafika ama ndio anaanza safari.
3. Amevaa barakoa ambayo imemfunika mpaka macho kitu ambacho kinamfanya asione mbele kuna bundi.
Unforgetable