Mgombea wa ACT ameshauriwa amuunge mkono mgombea wa Chadema lakini bado anadai yeye ni mgombea urais.Zambarau aliyevaa suti anataka kutoswa mguu ukinyanyuliwa...
Huyu Masoud huwa anatumia akili sana kufikisha ujumbe.
Mgombea wa ACT ameshauriwa amuunge mkono mgombea wa Chadema lakini bado anadai yeye ni mgombea urais. Viongozi wa chama wanambeba kwa kukanyaga huo ubao lakini nge akifikia mguu mgombea wa ACT anatoswa.
Hapo mtu yupo kisiwani akiunga mkono mtu upande wa pili.
Membe Vs ZittoHabari...!
Hapa huyu KP ana maanisha nini?
Huyu aliyekanyaga Banzi ni nani? Aliyesimama juu ya banzi ni nani na haka ka Nge vipi?View attachment 1580844
Kwahiyo hapo ZZT ndio alokanyaga Banzi sio?Member anabishana na wenye chama ambao ndio waliomsimamisha kugombea
Nge ni nani?Kuna watu wawili mmoja mwenye-size ndogo amevaa rangi zambarau (ACT) ..mwingine ni rangi zambarau yenye kijani (ACT-CCM) amemshikilia huyo mwenye zambarau full
Tafsiri :
Kuna ACT wenyewe ambao kupiga kwao kampeni kuna mtegemea mfadhili ambaye ni mixture CCM na AcT (MEMBE) tena wanaomtegemea sana ni ambao hawako main- land
Hivyo huyu membe aking’atwa na Ng’e akatoa mguu wake Act kwisha habari yake
Nge ni nani?
Nisidanganye Ng’e hana rangi nimeshindwa kumtambuaNge ni nani?
Mmhh!!!,sawa lkn km si sawa hivi?!!!,Kwasababu Kule Zanzibar Maalim Seif anajitosheleza sana hahitaji sapoti ya Membe.Hebu rudia tena tafsiri yako.Kuna watu wawili mmoja mwenye-size ndogo amevaa rangi zambarau (ACT) ..mwingine ni rangi zambarau yenye kijani (ACT-CCM) amemshikilia huyo mwenye zambarau full
Tafsiri :
Kuna ACT wenyewe ambao kupiga kwao kampeni kuna mtegemea mfadhili ambaye ni mixture CCM na AcT (MEMBE) tena wanaomtegemea sana ni ambao hawako main- land
Hivyo huyu membe aking’atwa na Ng’e akatoa mguu wake Act kwisha habari yake
Maalim Seif hajitoshelezi alikua anatefemea Ruzuku ya Cuf sasa hivi haipo na ukumbuke huyu bwana ni mwanasiasa si mfanyabiasharaMmhh!!!,sawa lkn km si sawa hivi?!!!,Kwasababu Kule Zanzibar Maalim Seif anajitosheleza sana hahitaji sapoti ya Membe.Hebu rudia tena tafsiri yako.