Ndugu wanajf nimeshtushwa na taarifa za kipuuzi zilizoandikwa hapa kusiana na michuzi na mtu mwenye jin l kipanga mlakuku kwanza natoa shukrani zangu kwa moderator kifuta post hiyo na jibu langu kwa huyo mamluki aliyeweka hiyo post ni hili.....
Kwanza wewe sijui kipanga mlakuku yaelekea umejiunga humu juzi tu...mimi ndiye huyo Nova Kambota uliyenitaja , naomba nikwambie kitu kimoja mimi sikuanzisha hiyo blog yangu kushindana na Issa Michuzi wala nani? nimeanzisha ili niandike habari mbalimbali na pili sihitaji promotion yako wala ya baba yako naomba uniache kama nilivyo kwa maana blog yangu nilianzisha mwenyewe na naiendesha mwenyewe sihitaji msaada wako kama unataka kupiga promotion au umbeya wako anzisha yako kisha ndiyo ufanye promotion yako sawa ndugu?
Kwanza wewe sijui kipanga mlakuku yaelekea umejiunga humu juzi tu...mimi ndiye huyo Nova Kambota uliyenitaja , naomba nikwambie kitu kimoja mimi sikuanzisha hiyo blog yangu kushindana na Issa Michuzi wala nani? nimeanzisha ili niandike habari mbalimbali na pili sihitaji promotion yako wala ya baba yako naomba uniache kama nilivyo kwa maana blog yangu nilianzisha mwenyewe na naiendesha mwenyewe sihitaji msaada wako kama unataka kupiga promotion au umbeya wako anzisha yako kisha ndiyo ufanye promotion yako sawa ndugu?