mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,432
- 2,892
Tupeane uzoefu katika Tanzania yetu hii na dunia kwa ujumla. Mara nyingi huwa tunasafiri katika kutafuta mahitaji yetu mbali mbali ndani ya miji yetu, mikoa na hata nje ya nchi.
Hayo ya kukwea mapipa wengine hatujayaonja, tunayaona tu kwenye mamuvi. Hivyo wacha nizungumzie kuhusu suala lililopo ndani ya uwezo wangu katika safari nayo ni mabasi ya abiria.
Leo Niko safarini kutoka MBEYA kuelekea CHALINZE.
Hua mafurahi sana nikipita maeneo ya Mto Ruaha pale. Ukishamaliza kushuka kitonga Hadi unaikamata miku mijini.
Kipande kile bwana nakipenda Sana mandhari yake na gari jinsi inavofunguka.
Hebu twambie ni sehemu gani unaielewa zaidi unapo safiri?
Hayo ya kukwea mapipa wengine hatujayaonja, tunayaona tu kwenye mamuvi. Hivyo wacha nizungumzie kuhusu suala lililopo ndani ya uwezo wangu katika safari nayo ni mabasi ya abiria.
Leo Niko safarini kutoka MBEYA kuelekea CHALINZE.
Hua mafurahi sana nikipita maeneo ya Mto Ruaha pale. Ukishamaliza kushuka kitonga Hadi unaikamata miku mijini.
Kipande kile bwana nakipenda Sana mandhari yake na gari jinsi inavofunguka.
Hebu twambie ni sehemu gani unaielewa zaidi unapo safiri?