Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,325
Kutoka field inaelezwa kuwa kipande cha Kibaha hadi Mlandizi magari ni kama yapo parking, bonge la foleni
Alternative:
Wanaotoka Dar kwenye kaskazini piteni Bagamoyo.
Hata wanaokwenda Nyanda za Juu toka Dar piteni Bagamoyo.
Inasemekana kuna Scania imeharibika maeneo ya Kongowe na imeziba njia.
Mimi tuu tabutupu kukuletea habari.
Alternative:
Wanaotoka Dar kwenye kaskazini piteni Bagamoyo.
Hata wanaokwenda Nyanda za Juu toka Dar piteni Bagamoyo.
Inasemekana kuna Scania imeharibika maeneo ya Kongowe na imeziba njia.
Mimi tuu tabutupu kukuletea habari.