FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,018
- 40,686
Tangu mwaka 2009 mkandarasi yupo site na anafanya kazi usiku na mchana, anafunga barabara na kupitisha magari kwenye diversion.
Kila siku vijiko na magreda naviona vinafanya kazi pale, vifusi na kokoto vinamwagwa kila kukicha, ila kipande hicho cha mita 200 huko Tabata Kimanga hakijafanikiwa kuwekwa lami.
Na huyu mkandarasi yupo hapo site tangu 2009, na tunamuona akifanya kazi kila siku. Hata leo hii mkienda pale mtamuona yuko site na vifaa vyake, ila barabara haikamiliki.
Nasikia kuna kaburi la bibi mmoja pale lilihamishwa bila kufuata mila, ndio maana lami imegoma kuwekwa.
Kwa wajuzi wa hicho kipande cha barabara hiyo Tabata Kimanga, tunaomba maelezo, ni muujiza gani unafanyika hapo?
================================
Update:29/08/2020
Hatimae jana wameanza kuweka lami, baada ya kusota kwa miaka 10, JF kiboko
Kila siku vijiko na magreda naviona vinafanya kazi pale, vifusi na kokoto vinamwagwa kila kukicha, ila kipande hicho cha mita 200 huko Tabata Kimanga hakijafanikiwa kuwekwa lami.
Na huyu mkandarasi yupo hapo site tangu 2009, na tunamuona akifanya kazi kila siku. Hata leo hii mkienda pale mtamuona yuko site na vifaa vyake, ila barabara haikamiliki.
Nasikia kuna kaburi la bibi mmoja pale lilihamishwa bila kufuata mila, ndio maana lami imegoma kuwekwa.
Kwa wajuzi wa hicho kipande cha barabara hiyo Tabata Kimanga, tunaomba maelezo, ni muujiza gani unafanyika hapo?
================================
Update:29/08/2020
Hatimae jana wameanza kuweka lami, baada ya kusota kwa miaka 10, JF kiboko