Kipakacha

BAK

JF-Expert Member
Feb 11, 2007
124,790
288,006
Jamani mmekiona kipakacha? Kipakacha ni mwanachama mpya wa JF, karibu sana kipakacha katika ukumbi wetu huu mwanana. Huko kwenye kipakacha umeficha nini?....:) mbona kipakacha kimetunatuna...:) Haya karibu sana JF!
 
WHEN I WAS A KID WE USED TO SING A FUNNY SONG ........inspection......x2
pakacha si mzigo.....
IT WAS ABOUT A 'BABU' WHO WAS ABOUT TO BE CHECKED...(airport,police st,check point etc)BUT INSPECTORS WANTED 'BABU'TO OPEN HIS 'MSULI'SO THAT 'MZIGO'TO BE CHECKED,'BABU'SAID IT IS NOT 'MZIGO' BUT SIMPLY A SMALL 'PAKACHA'.......STILL INSPECTORS INSISTED TO CHECK THE 'PAKACHA'.....THERE IS WHERE THE 'BABU' SAID....."PAKACHA SI MZIGO"
MKAGUZI ANASEMA WATU WOTE WAKAGULIWE 'BABU' ANASEMA HANA MZIGO WA KUKAGULIWA....!
 
Kweli yakhe! Pakacha si mzigo atii! Ila kilichomo pakachani ndo mzigo wenyewe! Lau pakacha halifungwi kama mzigo, aghalabu pakacha huwa wazi, kama yale yatembezeayo madafu, mboga na vikorokoro vingine. Ila kipakacha ni kidogo hicho, kama vile vibebavyo vitunda kama zambarau, shokishoki au hata halua wakati mwingine!
Basi tuyaache, ila jina la mwenzetu waama limeleta haiba ya aina yake jamvini JF. Karibu yakhe!! Na mie nina siku nyingi kidogo sijawa humu, n'likuwa shamba!
 
Kweli yakhe! Pakacha si mzigo atii! Ila kilichomo pakachani ndo mzigo wenyewe! Lau pakacha halifungwi kama mzigo, aghalabu pakacha huwa wazi, kama yale yatembezeayo madafu, mboga na vikorokoro vingine. Ila kipakacha ni kidogo hicho, kama vile vibebavyo vitunda kama zambarau, shokishoki au hata halua wakati mwingine!
Basi tuyaache, ila jina la mwenzetu waama limeleta haiba ya aina yake jamvini JF. Karibu yakhe!! Na mie nina siku nyingi kidogo sijawa humu, n'likuwa shamba!
ULIKUWA SHAMBA ULIAGA LAKINI ? AU NDO ULIONDOKA KIMYA KIMYA? KARIBU NAWE.....!
 
Back
Top Bottom