KimpaGhasha
JF-Expert Member
- Jun 21, 2020
- 327
- 448
Habarini humu ndani
Moja kwa moja kwenye mada
Aisee Watanzania na Waafrika kiujumla hatuna desturi yakuwafuatilia watoto wetu ili kuona Mungu amewabariki na kitu gani cha kipekee ambacho kinafaa kumuendeleza kwa manufaa yake na jamii kwa ujumla.
Leo nasikitika nikikumbuka kipaji changu kilichopotea haki yanani jamani
Wazazi wabaki kung'ang'ana nakasumba ya fanya hivi ili uwe kama mtoto wa fulani mbayaaa saana hii kwakweli
Nakumbuka wakati nikiwa mdogo kama wamiaka 11-15 nilikuwa mtunzi mzuri wa mashairi yaani nilikuwa na uwezo wakuongea na mtu kwa vina na mizani kabisa hata kwa maongezi ya kawaida.
Nakumbuka kwenye mtihani wa mwisho necta si wakaingia mkenge eti tunga shairi lenye beti 4 lenye vina na mizani sijui walisema 16 maana nishasahau saivi
Aaah alafu lina marks nyingi nikasema hili nafanya ziķiwa zimebaki dk 5 tu aisee nilifanya dk chache alafu limesimama vibaya yaani alokuwa anasaisha hilo shairi nahisi aliganda kwa mda akiangalia kipaji cha mtu.
Ila sasa asalaleeee kipaji kimepotea masikini!!
Siwezi chochote kwa kwelii!
Moja kwa moja kwenye mada
Aisee Watanzania na Waafrika kiujumla hatuna desturi yakuwafuatilia watoto wetu ili kuona Mungu amewabariki na kitu gani cha kipekee ambacho kinafaa kumuendeleza kwa manufaa yake na jamii kwa ujumla.
Leo nasikitika nikikumbuka kipaji changu kilichopotea haki yanani jamani
Wazazi wabaki kung'ang'ana nakasumba ya fanya hivi ili uwe kama mtoto wa fulani mbayaaa saana hii kwakweli
Nakumbuka wakati nikiwa mdogo kama wamiaka 11-15 nilikuwa mtunzi mzuri wa mashairi yaani nilikuwa na uwezo wakuongea na mtu kwa vina na mizani kabisa hata kwa maongezi ya kawaida.
Nakumbuka kwenye mtihani wa mwisho necta si wakaingia mkenge eti tunga shairi lenye beti 4 lenye vina na mizani sijui walisema 16 maana nishasahau saivi
Aaah alafu lina marks nyingi nikasema hili nafanya ziķiwa zimebaki dk 5 tu aisee nilifanya dk chache alafu limesimama vibaya yaani alokuwa anasaisha hilo shairi nahisi aliganda kwa mda akiangalia kipaji cha mtu.
Ila sasa asalaleeee kipaji kimepotea masikini!!
Siwezi chochote kwa kwelii!