Kipa mpya Simba jirekebishe kwenye haya

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,142
13,216
IMG-20161130-WA0044.jpg

Waswahili husema udngo uwahi ungali maji, sijui wenzangu mnamuonaje huyu kipa mpya wa Simba nimeona makosa kadhaa ya kiufundi anayoyafanya na sijui kama waalimu wake wanayaona
2.jpg

  1. Over confidence
  2. Poorly making the cross
  3. Kutema tema ovyo

288342_heroa.jpg

  1. na kutozemezana sana na mabeki wake

KIPA%2BDANIEL%2BAGYEI.JPG

  1. ....................................................
Ibara ya 18 ya Katiba (Haki ya Kutoa Maoni)

Namuomba ayafanyie kazi haya makosa kwani tuna mlima mrefu mbele
 
Danny hana matatizo katika positioning, kuhamisha na kupanga beki.Tatizo lake ni kudharau washambuliaji wa timu pinzani.Anapaswa tu kuonywa aache utani.Timu inatatizo kubwa kwenye stricking force.Atanasi acheze pembeni na awepo mtu wakupoke cross na kuzipeleka golini.Kichuya hana uwezo kwa sasa labda afanye zoezi la kufa mtu ndiyo atarudi kwenye kiwango.
 
Ana tatizo pia katika uanzishaji wa mipira kwa wachezaji wake alifanya hivyo mechi ya kirafiki na mtibwa chamanzi,akarudia kosa hilo na ndanda,pia na jkt ruvu na mechi na taifa jang`ombe namna anavorusha mipira kuanzisha kama anakutana na washambukiaji wajanja kama tambwe au ngoma ni rahisi kusema ni mamluki
 
Mtoa Mada yupo sahihi kipa wetu ana mapungufu flani ambayo inabidi yafanyiwe kazi
 
Danny hana matatizo katika positioning, kuhamisha na kupanga beki.Tatizo lake ni kudharau washambuliaji wa timu pinzani.Anapaswa tu kuonywa aache utani.Timu inatatizo kubwa kwenye stricking force.Atanasi acheze pembeni na awepo mtu wakupoke cross na kuzipeleka golini.Kichuya hana uwezo kwa sasa labda afanye zoezi la kufa mtu ndiyo atarudi kwenye kiwango.
Kichuya anahitaji kufanya gym sana
 
Ana tatizo pia katika uanzishaji wa mipira kwa wachezaji wake alifanya hivyo mechi ya kirafiki na mtibwa chamanzi,akarudia kosa hilo na ndanda,pia na jkt ruvu na mechi na taifa jang`ombe namna anavorusha mipira kuanzisha kama anakutana na washambukiaji wajanja kama tambwe au ngoma ni rahisi kusema ni mamluki
hapa namkubali sana Kaseja kwa uanzishaji wa mipira
 
Nyie mnataka awe kama world class player wakati mmemnunua kama scraper!?

Muacheni bhana! Uwezo wake ndo umefikia mwisho hapo!
 
Back
Top Bottom