Mrs Kharusy
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 1,244
- 670
Wapendwa za J1..
Kuna recipe hii ningependa kushare nanyi..
Unga mug 1 na robo
Mtindi plain mug moja
Sukari vijiko 7
Mayai 2
Samli aseel vijiko 4(unaweza tumia mafuta 1/2 mug)
Vanilla 1-2 tbs
Baking powder 2 tbs
Vermicelli 1pkt
Maziwa mazito ya sona kibati 1
Jinsi ya kutayarisha
Kwenye bakuli safi mimina mtindi, mayai, sukari ,samli na vanilla
Tumia mashine ya cake au mchapo kuchanganyia
Then weka unga na baking powder. .changanya vizuri
Kwenye trey weka baking paper na umimine mchanganyiko wako.
vunjavunja tambi zako(Vermicelli) na uziweke juu ya ule mchanganyiko
Bake mchanganyiko wako kwa dkk 25-30
Baada ya kuiva itoe kwenye oven na umimine maziwa ya sona kabla haijapoa
Baada ya kupoa weka kwenye fridge.
Kiota cha ndege tayari kwa kuliwa.
Kuna recipe hii ningependa kushare nanyi..
Unga mug 1 na robo
Mtindi plain mug moja
Sukari vijiko 7
Mayai 2
Samli aseel vijiko 4(unaweza tumia mafuta 1/2 mug)
Vanilla 1-2 tbs
Baking powder 2 tbs
Vermicelli 1pkt
Maziwa mazito ya sona kibati 1
Jinsi ya kutayarisha
Kwenye bakuli safi mimina mtindi, mayai, sukari ,samli na vanilla
Tumia mashine ya cake au mchapo kuchanganyia
Then weka unga na baking powder. .changanya vizuri
Kwenye trey weka baking paper na umimine mchanganyiko wako.
vunjavunja tambi zako(Vermicelli) na uziweke juu ya ule mchanganyiko
Bake mchanganyiko wako kwa dkk 25-30
Baada ya kuiva itoe kwenye oven na umimine maziwa ya sona kabla haijapoa
Baada ya kupoa weka kwenye fridge.
Kiota cha ndege tayari kwa kuliwa.