binjo
JF-Expert Member
- Feb 22, 2016
- 2,115
- 1,240
Habari za majukumu mlionayo kwenu nyote na poleni.
Naja kwenu kufahamu ama nimjue ni kiongozi yupi wa Upinzani ambaye ni msafi hakuwahi nyooshewa kidole cha uchafu katika chama chake kwa ubadhirifu wa mali, uongo,usaliti ,udikteta, unafiki wala ukanda ama udini.
Nahitaji nianze leo kumpigia kampeni za chinichini mpaka ifikapo 2019 asilimia flani ya jamii naamini itakuwa imemuelewa na kumkubali na kuwa tayari kumpigia kura.
Ni hayo asanteni.
Naja kwenu kufahamu ama nimjue ni kiongozi yupi wa Upinzani ambaye ni msafi hakuwahi nyooshewa kidole cha uchafu katika chama chake kwa ubadhirifu wa mali, uongo,usaliti ,udikteta, unafiki wala ukanda ama udini.
Nahitaji nianze leo kumpigia kampeni za chinichini mpaka ifikapo 2019 asilimia flani ya jamii naamini itakuwa imemuelewa na kumkubali na kuwa tayari kumpigia kura.
Ni hayo asanteni.