Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,224
- 6,468
Kiongozi wa zamani wa kijeshi wa Misri Field Marshall Mohammed Hussein Tantawi amefariki dunia.
Bwana Tantawi amewahi kuwa waziri wa Ulinzi wa Misri kwa miaka 21. Pia amekuwa Rais wa mpito kuanzia 2011 hadi 2012 badaa ya kuobdolewa kwa Rais Hosni Mubarak.
Utawala wake wa Mpito ulikoma Mara baada ya Mohammed Morsi kuchaguliwa kuwa Rais.
Anakumbukwa kwa kuongoza Vita dhidi ya Israel mwaka 1956. Amefariki leo akiwa na miaka 85.
Bwana Tantawi amewahi kuwa waziri wa Ulinzi wa Misri kwa miaka 21. Pia amekuwa Rais wa mpito kuanzia 2011 hadi 2012 badaa ya kuobdolewa kwa Rais Hosni Mubarak.
Utawala wake wa Mpito ulikoma Mara baada ya Mohammed Morsi kuchaguliwa kuwa Rais.
Anakumbukwa kwa kuongoza Vita dhidi ya Israel mwaka 1956. Amefariki leo akiwa na miaka 85.