Kiongozi wa upinzani kenya atafutaa sapoti Bonden

mkama

Member
Oct 19, 2007
67
10
Zipo habari kuwa mmoja wa viongozi wa upinzani anaewania urais kenya yupo Sauzi ya Afrika akitafuta saport kwa wakenya waishio nchini humo.Kiongozi huyo ametajwa kwa jina moja la Laila,sijui kama ni Odinga au Oginga.Waishio humo Afrika ya sauzi,tupe info.Tanzania kuna cha kujifunza kutoka kwa hawa jamaa na harakati zao kwenye siasa?
 
Zipo habari kuwa mmoja wa viongozi wa upinzani anaewania urais kenya yupo Sauzi ya Afrika akitafuta saport kwa wakenya waishio nchini humo.Kiongozi huyo ametajwa kwa jina moja la Laila,sijui kama ni Odinga au Oginga.Waishio humo Afrika ya sauzi,tupe info.Tanzania kuna cha kujifunza kutoka kwa hawa jamaa na harakati zao kwenye siasa?

Huyo ni Raila Odinga wa ODM.Kama yuko South Africa kutafuta support anajua anachokifanya.Jamaa huyu kwa mujibu wa Steadman,shirika linalofuatilia kampeni za uchaguzi huko Kenya anaongoza kwa kura za maoni.nasikia ni mwanasiasa shupavu na anajua ku calculate mambo ya siasa za Kenya.
 
Raila atapita tena kwa margin yenye hitaleta ubishi. Kibaki yupo bungeni kwasababu ya kampeni aliyomfanyia Raila huku akiwa amelazwa London. Sasa Kibaki na wenzake wanatambua kwamba Chief Campaigner aliyemweka ikulu yuko kwenye resi. Wakenya waliowengi na waliokubali mwito wake kwamba Moi na KANU waangushwe kura 2002 kwajili "Kibaki Tosha!" sasa ndio wao hao wengi wanaompenda Raila na kusema kwa kauli kura ya maoni ya Steadman Polls "Kibaki Toka!" Itapendeza majirani wetu Afrika wajitayarishe kuwa na Rais jirani mpya mwakani: Raila Odinga, ngome ya Afrika Mashariki.
 
@Mkama, ndugu ulimiss hii article ambayo nimeitafuta nakuiweka hapa ili upate dira fulani kuhusu visit ya Raila SA hivi majuzi. Ni rafiki mkubwa wa Thabo Mbeki na babake Jaramogi Oginga Odinga aliyepigania uhuru ya Kenya pamoja na wenziwe alikuwa mndani mkubwa wa viongozi wa ANC. Mbali nakutaka kuiunda chama chake kipya ODM kwa misingi ya ANC, Raila pia anaendeleza campaign zake za kuwa Raisi mwenye uzito kwa ulingo wa siasa za bara. Biografia yake imechapishwa na kuuza sana Nigeria na West Africa. Kitabu chenyewe unaweza kitafuta na google.com kinaitwa RAILA: AN ENIGMA IN KENYAN POLITICS. Amekuwa mndani kwa muda wa Serekali na SPLM ya Marehemu Garang wa Sudan. Amepinga waziwazi ndoto za M7 wa Uganda kwamba rais huyu ndiye candidate mwafaka wa EAF itakapoundwa (na ana umaarufu sana nchini Uganda ambako huenda kushiriki kwenye vipindi vya mahojiano kwa redio kadhaa za FM). Sasa imebaki TZ na ninauhakika anampango ya kujenga daraja pia nchini humo. CV yake ya kisiasa kwa kweli inaweza fananishwa tu na ya wale mashujaa wa Afrika wa awamu ya kwanza kama kina Oliver Tambo, Namdi Azikiwe na Tseko Toure walioina harakati ya kisiasa nchini mwao kama tu tip ya shida zinazowakumba waAfrika wengi wengine kwa jumla. Chini ya uongozi wake, wale wanaotabia ya kuvamiavamia nchi za wenyewe katika eneo za MaZiwa Makuu watakosa usingizi. Raila ni Mkenya aliye na swala nzima la Afrika Mashariki, na Afrika kwa jumla maanani. Kura kwa Raila, iwe ya maoni au ya sanduku hakika ni kura kwa ari mpya. Nadhani atafanya kazi vizuri na JK wa Bongo kuhakikisha any mischief from the Tut** hegemony ya nchi tatu za EAC haitafua dafu. www.raila07.com.

______________________



October 18, 2007

Raila Odinga Now Elicits Regional Excitement

Posted: October 18th, 2007, 10:15am CDT
It appears Raila Odinga stature is now growing beyond Kenya's borders and causing big men to shift uneasily in their seats.

A report appearing in the Standard on 17/Oct/2007 and attributed to an opposition Uganda MP says that meeting between US President George Bush and Ugandan leader Yoweri Museveni later this month on 30/Oct/2007 is likely to discuss Kenya's General Election, and especially the fact that ODM's Raila Odinga is likely to be Kenya's next president.

Apparently, Uganda's president Yoweri Museveni is 'uncomfortable' with such prospects and will be seeking President Bush's assistance in preventing it.

Before these stories emerged, South Sudan observers were surprised when a cabinet reshuffle affected Mrs. Rebecca Garang, the widow of the late SPLM Commander John Garang. This was shortly after Rebecca Garang had made sensational comments at a ceremony in Nairobi to honour her late husband where she expressly said her husband had been assasinated. The late Garang died while being ferried home in Yoweri Museveni's 'presidential helicopter' piloted by Museveni's crew. It still remains unclear why Museveni did not attend Garang's funeral in person. Garang's death has never been resolved. Is Museveni fearing that a Raila government may unearth his role in Garang's death? Is there a battle of OIL unfolding in the great lakes region? South Sudan has huge deposits of oil and Uganda recently struck oil deposits.

The Government Of South Sudan (GOSS) has never been the same since Rebecca's claims. Infact, early this week, the GOSS suspended their participation in central government in Khartoum and the Comprehensive Peace Agreement which brought to end Africa's longest and bloodiest civil war is facing serious threats of collapsing.

Can Kumekucha readers spot the connection here?

Kalonzo Musyoka, Kenya's ex-Foreign Affairs Minister always prides himself as being the achitect of peace in Sudan. It seems he did not complete the job.

On the other hand, Moi is the South Sudan peace envoy, appointed just a few months ago by President Kibaki as Chairman of IGADD.

Raila, an SPLA founder member, is known to be close to current GOSS leaders and it may be that the GOSS are not happy with Moi's antics or that Raila has complained to GOSS commanders about Moi's opposition to his ascendancy to Kenya's presidency.

Could Raila's imminent corranation be reason for the near collapse of the Sudan CPA?

Is Museveni's trip to the White House because of the same reasons?

Museveni is now chasing Moi's record as one of Africa's longest serving dictators. President Bashir of Sudan is another, as is Ethiopia's Premier Meles Zenawi. Only Jakaya Kikwete of Tanzania, Rwanda's Paul Kagame and DRC's Joseph kabila have democratic credentials and appear to be unfazed by the prospects of a Raila presidency.

And why should Moi, heart patient in his mid eighties, expend all his energies in local politics fighting ODM instead of being the cool diplomat he has been appointed to be, particularly now that regional peace is under severe threat?

Obviously, Raila Odinga - already named the 2nd Mandela of Africa - is the Renaissance Man, not just for Kenya, but the whole of Africa as well. Time will tell.
----------------------------------------------------------------



Copyright © 1998 - 2007 www.mashada.com All Rights Reserved. Developed By Kobia Interactive
 
Back
Top Bottom