Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
ni kundi la waandishi wa habari kutoka Nje ya nchi na watz bara wakiona umuhimu wa maelezo wa mmoja wa viongozi wakuu wa Jumuia ya Uamsho Zanzibar hapo Malindi. Kabla ya tukio hili. badhi ya vyombo vya habari hasa vya Tanzania bara vilaindika vibaya jumuia hii hasa kuhusu kuchomwa moto makanisa. Anehojiwa na waandishi wa habari