Wala sikuwahi kufikiri mitusi yote hiyo alokuwa anaitoa atakuwa mwanaume , mungu atuepushie vijana wetu.Khaaaa afadhali anamitusi huyu mwanaume looooh
Mitusi ilikuwaje mkuu? Kama ya wadada wa uswahilini?Wala sikuwahi kufikiri mitusi yote hiyo alokuwa anaitoa atakuwa mwanaume , mungu atuepushie vijana wetu.
Nahisi hata hawafuati kwa huyu Jamaa , yaani Mimi nilikuwa najuaga labda ni yale mashangingi yaliyoshindikana aiseeMitusi ilikuwaje mkuu? Kama ya wadada wa uswahilini?
HahaaaNahisi hata hawafuati kwa huyu Jamaa , yaani Mimi nilikuwa najuaga labda ni yale mashangingi yaliyoshindikana aisee
Tatizo Mange haishi Bongo, kama kapata uraia wa USA ni ngumu kweli kumkamta raia wao na kumleta Bongo kujibu mashitaka, hasa kwa makosa ya matusi mtandaoni. Ila ipo siku atajichanganya kuja bongo watamdaka.Hii iwe fundisho kwa wanaotumia vibaya social media. Wamkamate na Mange.