Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,413
- 55,986
Haya mmeona? watu wameichoka nchi hii na kujiita wamarekani weusi. Uzalendo kwishney. Viva wamarekani weusi, naona mmegudua kwamba nchi hii haina serikali.
hahahaaaaa
yaani ni wamarekani weusi kweli maana watata hao
binamu yangu nae alikuwa ktk group mzee kamhamisha kabisa bongo kasema huyu atakua jambazi bora ngoja aende kwa wabaki huko halafu tuone akaanzishe genge wamuue