aiseeh jana nlikua mbagala maeneo ya sheli bubu nkaona mabomu ya machozi yanapigwa hewani kuuliza naambiwa wamarekani weusi hao toka juzi wanazichapa sijui na nani...
kumbe ndo hvyoo duuu
jamani haya makundi ni hatari japo serikali inajifanya haioni
Wangekuwa wameingia barabarani kwa issue ya escrow ningewaona wa maana sana!
Una maana gani?
Bongo kama new york !
Wewe utakuwa member wa ilo kundi...wanapiga kuliko kikundi chochote nchini....wanajua style zote.
kweli kabisaa
na hawa yawezekana kuna wanasiasa ama kundi kubwa la wenye mamlaka lipo nyuma yao kuwasapoti kama si kuwalinda, haiwezekani jeshi la polisi na intelijensia yao kali vile lishindwe kuwadhibiti mda wote huo.
wanaachiwa wamake headlines, tusije kulaumiana raia wa kawaida nao watakapolipuka na mchafuko mkubwa kuzuka kwa sababu vurugu zao anaeathirika ni raia mwema na mali zake kama hajajeruhiwa basi ataibiwa.....
stay tune Kamanda KOVA na INTELIJENSIA yako
Wewe umeingia?
Wangekuwa wameingia barabarani kwa issue ya escrow ningewaona wa maana sana!
Habari wakuu?
Tangu juzi kumekuwa na machafuko makubwa, sehemu ya mzinga - mbagala, Temeke DSM.
Kuna makundi mawili ya vijana moja linaitwa wamarekani weusi (mzinga) na lingine panya road (dar nzima sasa makazi mbagala), panya road walipola simu ya demu wa marekani weusi machafuko yakaanza kutafutana na visa kibao vyao bado wanachunguza (source),
Tangu juzi ni machafuko tuu, police wameshindwa wanapiga mabomu tuuu hovyo tangu juzi, media hazilioni hili kabisa.
Wameua na kujerui tangu juzi ni ajabu sanaaaa.
KOVA NA IGP Zuieni makundi haya.
SOURCE: Wanajeshi waliokwenda eneo hilo sasa.