Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 159
- Thread starter
- #21
Haijawahi kutokea kiongozi wa juu wa CCM akahamia Upinzani,labda awe ametumwa kujua wapinzani wanafanya nini.Na unaposikia kiongozi wa juu wa upinzania kahamia CCM (mifano ipo) unashtuka vile vile?
As far as i know sijawahi kusikia katibu mwenezi wa CCM kahamia Upinzani?au wwew ulishasikia mwenyekiti wa CCM kahamia CHADEMA?sana sana utasikia yuko ndani ya kambi ya upinzani ndani ya CCM.
Swali bado lipo,Je hii ni chuki dhidi ya mbowe kutoka kwa wapinzani wenzake(hasa TLP ,CUF na NCCR?)na kwanini wanafanya hivi sasa hivi?