Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,483
- 156
Heshima Mbele,
Habari ambazo zilipamba mageti ya Nyumbani siku ya Jumapili yaliandika Habari kwamba Mhe. Mbowe aliwanunulia Baadhi ya watu raundi ya kinywaji alipokuwa Afrika Kusini na alionekana mchangamfu sana,na alionekana kutoshtushwa na habari za kifo cha Marehemu wangwe.
Nimeona ni vyema tujadili hili,Je ni kosa la Mbowe na linaweza kuwa na Madhara gani hasa kwa chama chake?Inasemekana kuna mmoja wa kiongozi wa kambi ya upinzani alishmwandikia IGP kuhsu hili na kuomba uchunguzi ufanyike.
Habari ambazo zilipamba mageti ya Nyumbani siku ya Jumapili yaliandika Habari kwamba Mhe. Mbowe aliwanunulia Baadhi ya watu raundi ya kinywaji alipokuwa Afrika Kusini na alionekana mchangamfu sana,na alionekana kutoshtushwa na habari za kifo cha Marehemu wangwe.
Nimeona ni vyema tujadili hili,Je ni kosa la Mbowe na linaweza kuwa na Madhara gani hasa kwa chama chake?Inasemekana kuna mmoja wa kiongozi wa kambi ya upinzani alishmwandikia IGP kuhsu hili na kuomba uchunguzi ufanyike.
Last edited by a moderator: