kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,732
Hii imekaaje wandudu, Nimeshuhudia kupitia Taarifa TBC 1 kiongozi wa Mbio za mwenge akitoa amri kwa Mhandisi huko singida kurekebisha mara moja ujenzi uliofanyika ambao umefanyika kwa kiwango cha chini la sivyo hatua kali zitachukuliwa dhidi yake.
My Take
Hivi nchi hii hakuna mpaka ya kiuongozi na kila mtu anaruhusiwa kutoa amri? tumeshuhudia NAPE akitoa amri ambazo kwa mtazamo wangu ni kazi za mawaziri husika.
My Take
Hivi nchi hii hakuna mpaka ya kiuongozi na kila mtu anaruhusiwa kutoa amri? tumeshuhudia NAPE akitoa amri ambazo kwa mtazamo wangu ni kazi za mawaziri husika.