Laiser James
Member
- Dec 5, 2013
- 77
- 8
Kiongozi wa mashtaka ktk mahakama ya kimataifa Binsouda amesema kuwa Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya hana makosa ya kutosha kumtia hatiani na kuwashauri waendesha mashitaka wa mahakama hiyo kuahirisha kesi hadi hapo watakapoenda kukusanya ushahidi wa kutosha.
Source; BBC swahili habari saa3 usiku.
Source; BBC swahili habari saa3 usiku.