Kiongozi wa Marekani aitaka nchi yao kuwa na uhuru wa demokrasia kama Tanzania

Ni sawa vile unaamini.

Hawa TEL, mimi ninawaaminije?

Kama wazungu walikataliwa hao ni kina nani?
Hao TEL siyo marafiki wa Tanzania na pia ni taasisi huru.Waangalizi wa uchaguzi wanatakiwa kuwa watu ambao siyo ndugu zako wala siyo marafiki zako na wawe ni taasisi huru ili wasikupendelee na kukuonea aibu.Tofauti na hapo ni mzaha mtupu!Unategemea dikteta kama Museven(Tumbili) aje kuwa mwangalizi wa uchaguzi wa dikteta mwenzake ambae ni Magufuli(Ngedere) halafu atoa ripoti chafu hata kama uchaguzi haukuwa wa huru na haki?
 
Hao TEL siyo marafiki wa Tanzania.Waangalizi wa uchaguzi wanatakiwa watu ambao siyo ndugu zako wala marafiki zako ili wasikupendelee na kukuonea aibu.Tofauti na hapo ni mzaha mtupu!Unategemea dikteta kama Museven(Tumbili) aje kuwa mwangalizi wa uchaguzi wa dikteta mwenzake ambae ni Magufuli(Ngedere) halafu atoa ripoti chafu hata kama uchaguzi haukuwa wa huru na haki?
Na mimi kama wewe usiwaamini hawa EAC eti kwa sababu ni ndugu.

Pia mimi siwezi waamini hao wa Tanzania Election Watch.

Maana si ndugu. Wanaweza paka matope ili kutimiza intereste zao.


Nikuulize swali wewe kwenye kituo chako uliyashuhudia hayo?
 
Na mimi kama wewe usiwaamini hawa EAC eti kwa sababu ni ndugu.

Pia mimi siwezi waamini hao wa Tanzania Election Watch.

Maana si ndugu. Wanaweza paka matope ili kutimiza intereste zao.


Nikuulize swali wewe kwenye kituo chako uliyashuhudia hayo?
Tatizo na ishu hapa siyo kumwamini mwangalizi au la.Ishu hapa ni mwangalizi kukidhi vigezo.Ni hicho tu!

Lazima ujue international standards za mwangalizi sahihi na uangalie je waangalizi waliokuja Tanzania ni akina nani na je walikidhi vigezo vya international standards?Vigezo vya international standards vikiwa mezani si suala tena la kusema kuwa namwamini huyu au simwamini yule, linakuwa ni suala la mwangalizi huyu ni sahihi na mwangalizi yule siyo sahihi.As simple as that fox!
 
Tatizo na ishu hapa siyo kumwamini mwangalizi au la.Ishu hapa ni mwangalizi kukidhi vigezo.Ni hicho tu!

Lazima ujue international standards za mwangalizi sahihi na uangalie je waangalizi waliokuja Tanzania ni akina nani na je walikidhi vigezo vya international standards?Vigezo vya international standards vikiwa mezani si suala tena la kusema kuwa namwamini huyu au simwamini yule, linakuwa ni suala la mwangalizi huyu ni sahihi na mwangalizi huyu siyo sahihi.As simple as that fox!
Hapana, hizo Standard zinaweza zikawa bias lakini.

Lakini kama waliruhusiwa maana yake walimeet vigezo.!
 
Sisi watanzania kiingeleza ni lugha yetu ya tatu...

Nyie jivunieni kisambaa, kimasai, kibena..etc ..then Kiswahili..

Kingeleza hamuwezi kukielewa kwa undani...kina misemo, kina nahau, kina methali, vichekesho na kejeli....
 
Acha kupotosha.

Unajua maana ya neno "ikiwemo"? View attachment 1631327
Neno lililotumika ni "...even Tanzania..". Ni mbumbumbu tu wa mtaa wa Lumumba ndio hawawezi kuelewa kuwa hiyo (kama ndie kweli alietafsiri hivyo kutoka English) kuna upotovu hadi kutumia neno "ikiwemo" badala tafsiri sahihi "hata".
Hata ukiwa mpumbavu kiasi gani, mtu mwenye kufikiri kidogo tu hatakosa kuona maneno "...maeneo mengine ambayo huwezi kuyafikiria..." kuwa yanakanusha dhana kuwa Tanzania inasifiwa na Giuliani.

Anyway, ccm endeleeni kujifariji kuwa mmesifiwa. Niondoeni Mtanzania mimi kwenye hizo "sifa".
 
Alikuwa ana kejeri, kuruhusu waangalizi kuna maana gani km raisi aliyepata ushindi za wizi huwezi kuhoji juu ushindi wake mahakaman??
Mbona kaongea kitu iko wazi...inamana hakutegemea sehem kam Tanzania ( Africa ) ingeruhusu observers....iko wazi wanaiona Africa kama domant continent sasa ww unasema amekejel duuuh hahaha pole
 
Promo gani kwa linch linaloendeshwa kidikteta?? Hata maamdamano yaliyo kt katiba hayaruhusiwi. Labda promo ya nyanyaako
Hapa Keshatupigia Prome ya kufa mtu kama Kuna mtu duniani alikua hajui Tanzania ndio kashajua na tena ni Civilised Country

Hata hivyo hivi kulikua na haja ya kuitaja Tanzania kwenye Mambo yao ya ndani ya uchaguzi ? ?
 
Mungu angekuwa anareact immediately kwa wasema uongo basi wewe ungeshakula vitasa vya kutosha.
Tanzania ina demokrasia kweli??
Nadhan ambia pia danganya Mamako tu
Hahahaha, kwamba Tanzania nchi ya Africa ambako wamarekani hawategemei kuwa ni mfano katika demokrasia lakini kuna nchi ambayo imeizidi USA ambaye ni baba wa demokrasia hapa duniani katika kufanya uchaguzi bora kabisa kwa kuruhusu waangalizi
 
Back
Top Bottom