Kiongozi wa Mapinduzi ya Guinea Colonel Mamady Doumbouya aifuta katiba iliyokuwepo

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,578
217,950
Amesema katiba iliyokuwepo haikuwa chaguo la wananchi na ilikuwa kandamizi , ameifutilia mbali huku akiandaa mipango ya kuanzisha mchakato wa Katiba ya wananchi itakayokidhi matakwa ya wananchi

Askari huyo Mkakamavu na ambaye alikuwa MBEBA MWAMVULI wa Dikteta Alpha Conde kabla hajapinduliwa

FB_IMG_1630912663924.jpg


Anategemewa na wananchi kwamba atarejesha haki na usawa kwenye nchi hiyo

FB_IMG_1630912674852.jpg
 
Nchi za Afrika Magharibi hawaruhusu siasa kuingizwa kwenye majeshi ndio maana jeshi kupindua serikali ni jambo dogo sana.

Huko ukiwa rais halafu eti ukashika urafiki na mkuu wa majeshi kwa kutegemea kwamba atakukingia kifua ukifanya upumbavu basi ujue unajidanganya.

Watakupindua tu wanajeshi wengine huku huyo CDF akitazama na asifanye chochote maanake anajua akileta utemi tu atajikuta hayupo duniani na rais wake, hivyo wanaogopa.

Jeshi likishatangaza mapinduzi vikosi vyote nchi nzima ni kuunga mkono, ukileta usaliti tu unashushwa chini ya ardhi haraka sana.
 
Black men We are naturally greedy, wicked, brutal and refused to reason.

Most of these leaders are simply greedy. This guy who takes over won't be different. He will loot. He will buy expensive cars, carry women, etc. Nothing more.
I do believe there's something fundamentally wrong with blacks.we are quite same all over
 
Black men We are naturally greedy, wicked, brutal and refused to reason.

Most of these leaders are simply greedy. This guy who takes over won't be different. He will loot. He will buy expensive cars, carry women, etc. Nothing more.
I do believe there's something fundamentally wrong with blacks.we are quite same all over
🤣🤣
 
Black men We are naturally greedy, wicked, brutal and refused to reason.

Most of these leaders are simply greedy. This guy who takes over won't be different. He will loot. He will buy expensive cars, carry women, etc. Nothing more.
I do believe there's something fundamentally wrong with blacks.we are quite same all over

Mswahili hua akitaka kuhalalisha ujinga wake hua anaweka maneno ya kiingereza kidogo ili aonekane anajua-Nyerere.
 
Black men We are naturally greedy, wicked, brutal and refused to reason.

Most of these leaders are simply greedy. This guy who takes over won't be different. He will loot. He will buy expensive cars, carry women, etc. Nothing more.
I do believe there's something fundamentally wrong with blacks.we are quite same all over
ila kweli mda utaongea
 
Amesema katiba iliyokuwepo haikuwa chaguo la wananchi na ilikuwa kandamizi , ameifutilia mbali huku akiandaa mipango ya kuanzisha mchakato wa Katiba ya wananchi itakayokidhi matakwa ya wananchi

Askari huyo Mkakamavu na ambaye alikuwa MBEBA MWAMVULI wa Dikteta Alpha Conde kabla hajapinduliwa

View attachment 1926574

Anategemewa na wananchi kwamba atarejesha haki na usawa kwenye nchi hiyo

View attachment 1926591

Ni heri ya nusu shari kuliko shari kamili.

Col. Mamady Doumbouya amewatoa kimasomaso wananchi wa Guinea.
 
Back
Top Bottom