Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,578
- 217,950
Amesema katiba iliyokuwepo haikuwa chaguo la wananchi na ilikuwa kandamizi , ameifutilia mbali huku akiandaa mipango ya kuanzisha mchakato wa Katiba ya wananchi itakayokidhi matakwa ya wananchi
Askari huyo Mkakamavu na ambaye alikuwa MBEBA MWAMVULI wa Dikteta Alpha Conde kabla hajapinduliwa
Anategemewa na wananchi kwamba atarejesha haki na usawa kwenye nchi hiyo
Askari huyo Mkakamavu na ambaye alikuwa MBEBA MWAMVULI wa Dikteta Alpha Conde kabla hajapinduliwa
Anategemewa na wananchi kwamba atarejesha haki na usawa kwenye nchi hiyo