Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
nadhani hata naibu mwanasheria wa serikali anahusika kwa sababu jana alinukuliwa na VOA akisema madaktari wasiporudi kazini kwa kutii amri ya mahakama. Watasikia kesho nadhani hii ni mojawapo ya uthibitisho wa kauli yake. sasa watatujua sisi ni kinanani na sasa ndiyo wamechokoza moto hata na kwenye mahalmashauri madaktari watagoma, solidarity forever bravo madaktari
alizungumza kama mwanasheria sio kama mtekaji kwani hujui mtu akikaidi amri ya mahakama anafanywa nini?