Huwa najiuliza mama yake na MTU ujisiakiaje pale mwanawe anaposhiriki uovu kuwaumiza watoto wa wanawake wenzake. Au anaaogopa kunyimwa huduma. Mwanamke ndo kaibeba dunia, na mwanamke yeyeto akizembea kwenye malezi ameuwa ameharibu dunia. Si Baraka kuwa na mtoto mwenye laana ya kuumiza wenzake