Kiongozi wa ‘kina flani’ yamkuta ya kumkuta!

Hu
Naam,

Bwana E N amekutana na ‘Mkono wa Bwana’ jana jioni akitokea Bagamoyo.

Bonge la ajali! Miguu yote miwili kwishney.

Inadaiwa huyu ndiye huongoza operesheni za kuwaumiza watanzania.

Inavyoelezwa, ni beyond repair labda apelekwe ng’ambo. Akipelekwa huko pia tutawadondoshea kinachozidi kumkuta.

Ni siku chache kabla ya kurejea kwa Bwana T L.

Kumbuka, bwana mwingine almaarufu ‘Makichwa’ alikutana na ‘Mkono wa Bwana’ akanyakuliwa wakati Boss Kubwa akiwa ziarani Mbeya. Makichwa anadaiwa kuwa ndiye alikuwa ‘mashine ya kazi’.

Eid Mubarak
Huyu jamaa naskia ndo alikua nyuma ya sakata la Lugumi na Mange Kimambi hadi kunyamaza kumkosoa Magufuli.
 
Tatizo ni nini si wajikotekeze tu hata kwa ma gongo mchezo uishe sio polojo zenu tumechoka EX SPY leta report lini tunazika hilo nguruwe.
Huu mkwara Wa kipuuzi sana aisee!
Namkumbuka mwehu mmoja wakati Wa uchaguzi mkuu 2015 alizusha cdf amekufa akakamatwa akapelekwa mahakamani akakomaa kuwa kama hajafa ajitokeze na wehu wenzie wakawa wanamjaza humu ndani as if cdf ndio anampa ugali...
Mwisho Wa siku cdf akatokezea siku kadhaa wakati Wa kuapishwa rais mkabaki kimya mpaka leo....
Haikutosha mlisadikisha watu humu eti rais Wa awamu ya tatu amejipiga risasi akajiua wakati akilazimisha wapinzani wakatae matokeo, mkasambaza habari kama moto wa petroli wenye kutumia akili zetu tukawatizama tu, siku ya kuapishwa rais ikulu mzee Wa awamu ya tatu akatokezea mkabaki mdomo wazi mkajifanya sio nyie mliosambaza upupu...

Kuna mambo mnazusha sana mnahisi wengine hawana critical thinking wote ni nyumbu migrant tu!!!
 
Ila nyumbu mungu awasaidie tu, kuna kiongozi wenu jimbo la kawe kapata ajali kafa naye tusemaje? Hivi huyo E N mnaedai ni kiongozi wa wasiojulikana mna ushahidi wowote kuhusu hayo matukio ya kuteka?. Kwanini nyumbu mnakua watu wa kushutumu tu? Mnafurahia mtu kufa, nyinyi mtaishi milele?

2015 mlisema CDF ameuawa.. Mpaka Leo yupo. Kwanini mnakua na roho mbaya?
 
Tatizo kubwa linaloikabili Idara ni uwepo wa vichwapanzi kama ninyi. Tangu habari ya Nyaulingo ilipoanza kusambaa mmeshindwa kabisa kuwa na consolidated strategy ya kudili nayo. Wengi wenu mnakimbilia kuhangaika na messengers badala ya message. Huku baadhi yenu mnakiri "anakuwa discharged" which indirectly ina-prove kuwa something did indeed happen to him, wengine are trying to refute the whole story.
Hiyo profession haiitwi INTELLIGENCE kama urembo. It means using INTELLIGENCE as in AKILI. Unfortunately most of you have none.
Mmefeli sana katika hii issue kwa sababu this is information warfare, the winners are ones who could make a particular story go viral regardless of ukweli/uongo wake.
Ujumbe ambao sio tu umefika bali pia umesambaa ni huu: PEOPLE HATE YOU IDIOTS WITH PASSION. No wonder most wanawaombea majanga. It's a wake-up call. Mbadilike. Tumikieni taifa badala ya mtu.
We jamaa wakikukamata wanakuchuna ngozi alive..
 
Sio kweli. Uliongea na Mwenyezi Mungu kwanini Msamvu watu walikufa kwa kuungua moto? Nao walimkosea nani?
Hivi kupata ajari na kufa ndio malipo hapa hapa duniani? Nani amesema hivyo? Wewe ukipata ajari je? Or you think only sinners of your measure are the ones getting trouble!
Tunasheherekea mambo mengi. Ila ni mtu mjinga peke yake anayefurahia mwingine kufa. Maana wote tutakwenda na maji
Furaha yenu ya TL kupigwa risasi na kina been kutoweka ilikuwa haihusiani na nyie pia kufa?
 
Tatizo kubwa linaloikabili Idara ni uwepo wa vichwapanzi kama ninyi. Tangu habari ya Nyaulingo ilipoanza kusambaa mmeshindwa kabisa kuwa na consolidated strategy ya kudili nayo. Wengi wenu mnakimbilia kuhangaika na messengers badala ya message. Huku baadhi yenu mnakiri "anakuwa discharged" which indirectly ina-prove kuwa something did indeed happen to him, wengine are trying to refute the whole story.

Hiyo profession haiitwi INTELLIGENCE kama urembo. It means using INTELLIGENCE as in AKILI. Unfortunately most of you have none.

Mmefeli sana katika hii issue kwa sababu this is information warfare, the winners are ones who could make a particular story go viral regardless of ukweli/uongo wake.

Ujumbe ambao sio tu umefika bali pia umesambaa ni huu: PEOPLE HATE YOU IDIOTS WITH PASSION. No wonder most wanawaombea majanga. It's a wake-up call. Mbadilike. Tumikieni taifa badala ya mtu.
Point mkuu
 
Ila nyumbu mungu awasaidie tu, kuna kiongozi wenu jimbo la kawe kapata ajali kafa naye tusemaje? Hivi huyo E N mnaedai ni kiongozi wa wasiojulikana mna ushahidi wowote kuhusu hayo matukio ya kuteka?. Kwanini nyumbu mnakua watu wa kushutumu tu? Mnafurahia mtu kufa, nyinyi mtaishi milele?

2015 mlisema CDF ameuawa.. Mpaka Leo yupo. Kwanini mnakua na roho mbaya?
Nyumbu wale waliokuleta duniani.
 
Tatizo kubwa linaloikabili Idara ni uwepo wa vichwapanzi kama ninyi. Tangu habari ya Nyaulingo ilipoanza kusambaa mmeshindwa kabisa kuwa na consolidated strategy ya kudili nayo. Wengi wenu mnakimbilia kuhangaika na messengers badala ya message. Huku baadhi yenu mnakiri "anakuwa discharged" which indirectly ina-prove kuwa something did indeed happen to him, wengine are trying to refute the whole story.

Hiyo profession haiitwi INTELLIGENCE kama urembo. It means using INTELLIGENCE as in AKILI. Unfortunately most of you have none.

Mmefeli sana katika hii issue kwa sababu this is information warfare, the winners are ones who could make a particular story go viral regardless of ukweli/uongo wake.

Ujumbe ambao sio tu umefika bali pia umesambaa ni huu: PEOPLE HATE YOU IDIOTS WITH PASSION. No wonder most wanawaombea majanga. It's a wake-up call. Mbadilike. Tumikieni taifa badala ya mtu.

Chahali,
Wewe ni kati ya Wenye akili nyingiiii lkn can't accomplish anything

Kwa nini ulikimbia? Jemadari kakimbia vita
 
Naam,

Bwana E N amekutana na ‘Mkono wa Bwana’ jana jioni akitokea Bagamoyo.

Bonge la ajali! Miguu yote miwili kwishney.

Inadaiwa huyu ndiye huongoza operesheni za kuwaumiza watanzania.

Inavyoelezwa, ni beyond repair labda apelekwe ng’ambo. Akipelekwa huko pia tutawadondoshea kinachozidi kumkuta.

Ni siku chache kabla ya kurejea kwa Bwana T L.

Kumbuka, bwana mwingine almaarufu ‘Makichwa’ alikutana na ‘Mkono wa Bwana’ akanyakuliwa wakati Boss Kubwa akiwa ziarani Mbeya. Makichwa anadaiwa kuwa ndiye alikuwa ‘mashine ya kazi’.

Eid Mubarak
Duuuh JF Kiboko
 
224 Reactions
Reply
Back
Top Bottom