Kiongozi wa ‘kina flani’ yamkuta ya kumkuta!

Nikimpata wa hivyo namtega na kumla kiboga na hatalamba kitu....

Membe ndio chaguo la TISS toka 2015...hili hata JPM nalijua.. na ndio maana ameunda makundi huko, ili kudhoofisha baadhi ya makundi, na alianza kwa kuwatawanya wote walio ikulu..

Note: Mimi sio tiss wala informer haya niliyasikiaga huko bar... maana ma informer wa humu wa jinga sana, wanapenda sana kutumiana pm za kujidai mademu ili mtu aingie kingi
 
Huyo jamaa kadanganya huyo kwenye picha anaitwa Mahamudu Mringo, aliwahi kua naibu Meya wa Manispaa ya Kinondoni na ni mmiliki wa Shule/Vyuo binafsi zinaitwa Paradigms, mke wake ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi Usalama Mahali pa kazi kwa kifupi OSHA
Mke wake anaendeshwa na SU nyekundu v8 toyota landcruizer
 
Unaniogopa kwa lipi mkuu mimi ni mkulima wa kilimo cha kujikimu karibu kusini tulime korosho

Ni vile tunaguswa na kazi nzuri ya magufuli tu tumeshindwa kukaa kimya
Anafanya kazi nzuri kuipeleka Tanzania kwenye uchumi wa kati

Sina kitu mimi

😰😰😰 brother mie sina tatizo... nipo chini ya miguu yenu... sijui kitu kabisa na sio mwanasiasa .. sina mtoto bado jamanii... hata mimi naguswa na kazi nzuri ya Lahisi
 
224 Reactions
Reply
Back
Top Bottom