Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 19,526
- 37,941
Hivi wachawi wameanza kuwanga mchanaHahaha naona Bujibuji ukweli unachoma moyo kama mkuki, hahaha, mna hangaika mno. Utendaji wa serikali ya awamu ya tano umewapagawisha kinoma, poleni. Ila ndiyo hivyo, Dkt Magufuli ni rais wa mioyoni mwa watanzania mpaka 2025, na tukiona vipi tutaandamana ili aongezewe mingine mitano
Eeh wanajiamini
Cc Bujibuji