Ex Spy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2007
- 213
- 1,725
Naam,
Bwana E N amekutana na ‘Mkono wa Bwana’ jana jioni akitokea Bagamoyo.
Bonge la ajali! Miguu yote miwili kwishney.
Inadaiwa huyu ndiye huongoza operesheni za kuwaumiza watanzania.
Inavyoelezwa, ni beyond repair labda apelekwe ng’ambo. Akipelekwa huko pia tutawadondoshea kinachozidi kumkuta.
Ni siku chache kabla ya kurejea kwa Bwana T L.
Kumbuka, bwana mwingine almaarufu ‘Makichwa’ alikutana na ‘Mkono wa Bwana’ akanyakuliwa wakati Boss Kubwa akiwa ziarani Mbeya. Makichwa anadaiwa kuwa ndiye alikuwa ‘mashine ya kazi’.
Eid Mubarak
Bwana E N amekutana na ‘Mkono wa Bwana’ jana jioni akitokea Bagamoyo.
Bonge la ajali! Miguu yote miwili kwishney.
Inadaiwa huyu ndiye huongoza operesheni za kuwaumiza watanzania.
Inavyoelezwa, ni beyond repair labda apelekwe ng’ambo. Akipelekwa huko pia tutawadondoshea kinachozidi kumkuta.
Ni siku chache kabla ya kurejea kwa Bwana T L.
Kumbuka, bwana mwingine almaarufu ‘Makichwa’ alikutana na ‘Mkono wa Bwana’ akanyakuliwa wakati Boss Kubwa akiwa ziarani Mbeya. Makichwa anadaiwa kuwa ndiye alikuwa ‘mashine ya kazi’.
Eid Mubarak