Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,174
- 27,223
Swali lilikuwa lipo straight tu, amejulikana baada ya ajali? Na kama ni kabla mbona hakuwa kuja kumzungumzia huku na hayo matendo yake? Huu uzi una uongo mwingi sanaWewe ndio huelewi unataka uambiwe ule ulinzi pale moi wodi namba 3 ulikuwa wa Nini? Na yule walie mkata miguu akarudishwa makumbusho ilikuaje Kaka tulia.