Kiongozi wa ‘kina flani’ yamkuta ya kumkuta!

Vita gani? Hiyo ya kuua Waislamu wasio na hatia huko Mkuranga, Kibiti na Rufiji? Hiyo ya kumpiga risasi Ben Saanane pale Magogoni? Hiyo ya kumteka Injinia Mwijabe, kisha kumbaka halafu kumuua? I would rather not accomplish anything kuliko kushiriki ushetani wenu. You are a mob of ruthless murderers.

Mngekuwa watu wa maana, Jiwe angeleta watu wa kumsaidia kazi kutoka Rwanda? Kama sponsor (kama wajua maana yake) hawaamini, why should the public?

Na kuwaonyesha sie tupo INTELLIGENT zaidi yenu angalia tunavyowapelekesha kwenye hii information warfare ya Nyaulingo. Running like headless chicken hamjui mkanushe kuwa Nyaulingo hajapata ajali au kapata ajali lakini hajafa... Mpo mpo tu.

Tumewapiga bao. And this is just the beginning. You can't compete with watu waliowazidi akili.

And by the way, might be too early for you idiots to write some of us off. Bado kuna miezi 14 hivi kabla ya October 2020.

Law 35 of Power: Never seem to be in a hurry—hurrying betrays a lack of control over yourself, and over time. Always seem patient, as if you know that everything will come to you eventually. Become a detective of the right moment; sniff out the spirit of the times, the trends that will carry you to power. Learn to stand back when the time is not yet ripe, and to strike fiercely when it has reached fruition.
Kwa hiyo Ben saa8.....

Nijikalie kimya tu bado sina mtoto mie
 
Watz wengi sana ni vichwa maji na ni rahisi sana kuwaaminisha mambo kwa sababu wengi ni wavivu wa kufikiri. Sasa mtu anayeitwa Kigogo kila anachowaambia na wao wanakipokea kama kilivyo za kuanza kukisambaza kwa zero brains wengine bila hata kuhoji authenticity wa taarifa zake
Jambo lolote baya lenye kuumiza wengine hakuna linayemfurahisha labda awe mchawi.

Kuhusu hao wanaodaiwa ni watesi wa ndugu Lisu hatuna uhakika nao zaidi ya kulishwa matango pori ambayo mimi binafsi nimekataa kuyala.
 
Hii roho imeletwa na Yale yenye USO upana yasiyo na DNA na tabia za kitz. Yaani umteke mwanaume mwenzake umlawiti,umfanyie ufedhuli wote kisha umue,huku unajifanya unataka familia yako iwe na maadili.Mola ayageuze matoto yenu mashoga yote ili nanyi mhiisi ufedhuli wa kuwaingilia mliowateka na kuwaua.Mungu adhiakiwi mtavuna nyote si matawi hadi mizizi
 
Hahaaa nnacheka kama mazuri kumbe na wewe zwazwa eti baba, yaani kigogo.kawajaza mmejaa kama makenge yaan mnangoja muone turubai la msiba na hamtaliona mwisho kigogo atageuza stori
Hakuna cha ajabu, tupo ambao hadi leo hii bado tunangoja turubai la msiba wa Ben Saanane au naye bado yuko hai? Je msiba wa Azory Gwanda? Yaani nyie mashetani, subirini tu, Mungu yupo.
 
Kukimbia sio tatizo.

Sawa kabisa. Wengi huwa hawalielewi hili. Ukweli ni kwamba kukimbia siyo tatizo; kukimbia ni strategy. Tatizo ni unafiki wa kisiasa umeao ndani ya nchi zinazokimbiwa, unaoshinikizwa na mazingira ya kifisadi yaliyoota mizizi ndani ya jamii za nchi hizo.

Vladimir Lenin alipoandika kitabu chake maarufu "The State and Revolution", hakukiandika akiwa Moscow. Alikiandika akiwa ukimbizini jijini Zurich, Switzerland. Mwanasayansi maarufu, Albert Einstein, alilazimika kubakia Marekani ukimbizini alipokwenda huko temporarily kama 'visiting fellow' katika university za huko lakini akajikuta akishindwa kurudi kwao baada ya Adolf Hitler, dikteta wa siku hizo, kuingia madarakani na kuanza kupoteza na kuua watu ovyo. Akiwa huko US, Einstein alitengeneza mazingira ya kumwondoa Hitler madarakani, kwa kushiriki katika kitu kinachoitwa "Manhattan Project", ambao ulikuwa ni utafiti wa kuvumbua silaha za kisasa kuliko za Hitler, na kwa jinsi hiyo, akarahisisha kuondolewa madarakani kwa adui yake huku akiwa "ukimbizini." Kabla hajawa Rais wa msumbiji, Komredi Samora Machel alihangaika sana, mahangaiko yaliyoishia kwenye ukimbizi; Machel alikimbilia kwetu Tanzania, ambako mzee wetu Mwalimu Nyerere alimsaidia kujipanga upya kisha akarudi tena kwao Msumbiji akiwa "ameiva" kisiasa na kikamanda, na kuchukua nchi!

Mifano ni mingi. Ni mingi kiasi cha kujaza ukurasa, au hata kitabu kizima ukipenda. Narudia tena, kukimbia si tatizo; tatizo ni kujua (au kutojua) jinsi kukimbia huko kunavyoweza kutumiwa na "mkimbiaji".
 
Huu mkwara Wa kipuuzi sana aisee!
Namkumbuka mwehu mmoja wakati Wa uchaguzi mkuu 2015 alizusha cdf amekufa akakamatwa akapelekwa mahakamani akakomaa kuwa kama hajafa ajitokeze na wehu wenzie wakawa wanamjaza humu ndani as if cdf ndio anampa ugali...
Mwisho Wa siku cdf akatokezea siku kadhaa wakati Wa kuapishwa rais mkabaki kimya mpaka leo....
Haikutosha mlisadikisha watu humu eti rais Wa awamu ya tatu amejipiga risasi akajiua wakati akilazimisha wapinzani wakatae matokeo, mkasambaza habari kama moto wa petroli wenye kutumia akili zetu tukawatizama tu, siku ya kuapishwa rais ikulu mzee Wa awamu ya tatu akatokezea mkabaki mdomo wazi mkajifanya sio nyie mliosambaza upupu...

Kuna mambo mnazusha sana mnahisi wengine hawana critical thinking wote ni nyumbu migrant tu!!!
Nyumbu ni CCM kwani kule mbugani nyumbu ni wengi kama CCM mlivyokuwa wengi, usikariri uzushi mwingine ukautumia kama ngao ya kuzuia habari mpya kwa kigezo kuwa una Akili, Tambua unavyowaza na kufikiri ni tofauti na wengine wanavyodhani kila mtu anawaza na kufikiri kivyake, history za nyuma huwa zinabakia nyuma kwa mambo mapya, huwezi kulazimisha watu watumie history kwenye mda mwingine.
 
Back
Top Bottom