MKUYENGE
JF-Expert Member
- Jun 26, 2019
- 4,107
- 4,604
ana kashifa ya kugawa kinyeo sio utovu wa nidhamuTangu aenguliwe kitengo kwa utovu wa nidhamu hana hamu kabisa
ana kashifa ya kugawa kinyeo sio utovu wa nidhamuTangu aenguliwe kitengo kwa utovu wa nidhamu hana hamu kabisa
kumbe bro unawapata vizuri tuMfano Mathias kipara na wakudadavuwa
Team ya Wasiojulikana wameingiwa na wasiwasi hofu nyingi na team ya x spay wamekula corner.Kuelewa kinachoendelea humu utahitaji utulivu ...
Pia jf ni social platform salama zaidi kuongea haya mambo ...
Kwenye huu uzi wasiojulikana wamebishana na kuparuana sana
Sisi raia tulkua tunaokoteza okoteza mawe tu na kukimbiza mwizi
Na kila mtu asemeYaani kwa akili zako unategemea kuna mtu wa kupoteza muda kukushawishi uamini?
Kama huyo Nyaulingo hajapata ajali ajitokeze basi kukanusha. It is that simple! Otherwise, you fools need to shut the f*ck up!
Chinno XL fkcu you too
Mzee mwenzangu hata kunikaribisha ?Kafa tayari, Mimi nachoma mbuzi kwa furaha
Kundi la tano tunyoshe mikono juuhuu uzi una makundi zaidi ya manne ( 4 ), kuna la tano ndio sie raia wa kawaida, ambao tunaunga unga kupata vi taarifa
Ooooop! got you well.Umejuaje kama hawa ni watu wa chini?
Team ya x spy wamemwaga punjeTeam ya Wasiojulikana wameingiwa na wasiwasi hofu nyingi na team ya x spay wamekula corner.
Tuliza kichwa utaelewa kila kitu kinachoendelea humuKwenye huu uzi majamaa yamefanya divide and rule.. wamechanganya changanya madesa kutupoteza raia wa kawaida
Baba Swalehe, wewe ni mgeni rasmi. Hebu kula hii ngoma ya kibabe.Mzee mwenzangu hata kunikaribisha ?
Huyo jamaa kadanganya huyo kwenye picha anaitwa Mahamudu Mringo, aliwahi kua naibu Meya wa Manispaa ya Kinondoni na ni mmiliki wa Shule/Vyuo binafsi zinaitwa Paradigms, mke wake ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi Usalama Mahali pa kazi kwa kifupi OSHAHe looks so familiar... Nafkiri nilishamuona kwenye mijadala ya TV..
Kundi la tano tunyoshe mikono juu
Tuliza kichwa utaelewa kila kitu kinachoendelea humu
Kama huna connection nambie ni ku connect na gridi ya taifa
Kundi la tano tunyoshe mikono juu
Kama ni kweli yuko hai na akawa amesoma yaliyo andikwa humu lazima amrudie Mungu wake na kuomba toba. Binadamu ukichukiwa kiasi hiki wewe ni zaidi ya mnyama.Mzagila mwanyaulingo mhehe wa Nyabula is alive & well.Huyu ni mhehe mwenzetu Iringa ameaga.Bahati mbaya wapashaji hbr wenu wanawapotosha hana Fracture yoyote ready to be discharged home.
Mambo yanaendaje hapo eagle wing
Hawawezi kuwa na spy kichwa maji kama mimiUsijidai mwema kwangu, kumbe na wewe walewale... unataka ukanipe coco beach 😃😃😃 au sio 🚶♂️🚶♂️🚶♂️.... hiyo gridi ya taifa bakini nayo wenyewe .... 😁😁😁😁