Huyo shughuli yake imekwisha. Ubaya wa kutumika ndio huo, utakapokuwa huna uwezo wa kutumika tena unapotezwa.
Aanze kutubu, siku zake zinahesabika...
Killing mission zote huwa unatumwa kuuwa then after mission lzm uuwawe ili kumlinda mauaji mkuu usitoe siri,thus huwezi kuta MTU smart akakubali tumika hovyo na mwanaume mwenzake Kwa ahadi ya pesa au vinoa akafanye killing mission. Wengi huwa ni uneducated, waliokata tamaa ya maisha,waliotoka koo zenye laana ya mauaji.You kill at the darkness to hide the society at the end all society know the killer and King killer.Dunia haijawahi tunza siri.