ndiye nani ... kirefu chake ni nini?Bwana E N
ndiye nani ... kirefu chake ni nini?Bwana E N
Malipo ni hapa hapa duniani.
Bado bosi mkuu(mtoa maagizo) na yeye yatamkuta tu.
Walivyo na roho mbaya,wanaweza kummalizia tu kwani ana siri nyeti za kuwahusu(wakiona ni risky kukaa/kuwa nae katika hali hiyo).
Uongo huo!
Kwenye mambo haya Vipepeo wanajua Ubaya wa Taarifa za Siri kuwa Uwanjani ,tupo zaidi ya Million 50.
Hatujui wako wangapi lakini
Hakuna siri duniani, the hunter to be hunted, ukidua wenzio nawe unadukuliwa, ukifatilia wenzio nawe unafatiliwa.Mzizima 2 mission impossible, the hunter to hunted.
Nenda patandi!
Double agent at workMkuu ,kila Siri ina Uzito wake na kiwango cha Mtu wa kujua ni nani na kwa nini aijue au asiijue.
Chuo cha lugha za alama!Mkuu nime google nakutana na chuo cha ualimu na kikundi cha kwaya "Patandi" , hebu fungua mabano kidogo ili tuwe pamoja
Chuo cha lugha za alama!
Ongezea na yule wa maumivu ya jino alishiriki Area D, mkono wa Bwana ukamtembelea,
Makichwa