Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,427
Siasa ya Kenya utachoka nayo jinsi mimi nilivyochoka nayo. Wakenya wengi wamebakia kutazama mambo kwa mbali. Sidhani kuna suluhisho rahisi kwa matatizo ya Kenya. Tukipata viongozi wema ndio mambo yataanza kubadilika lakini hiyo ni ngumu kufanyika. Tribalism na corruption yatamalizwa na viongozi wema. Kwa sasa, mambo yatabaki yalivyo bila kubadilika.What is way forward for Kenya?, any idea?.