mwaswast
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 12,777
- 6,454
Bila kusahau hata Watz wanaenda hio SA omba omba tu.Naona hiyo singo ya ombaomba mmeikamata kweli kweli. Sawa hao wachache wametuharibia sifa. Kumbuka pia hao wahabeshi huko South Africa hawendi kutalii ni shida zinawapeleka. Ujuwe hilo