Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Hapo kinachoonyesha kuwa hajalirudisha ni nini? Hiyo picha ilipigwa kabla ya kulirudisha au baada? Common sense is not so common!
Kudos!!!Nimeshawahi kusema mara chache na sitochoka kusema tena - Ushabiki tumeuweka mbele kiasi tunatumia nguvu kupinga hoja badala ya kutumia hoja zenye nguvu katika kutetea utawala, uongozi, dhamana na uwajibikaji; na kupinga ufisadi, ubadhirifu na kutowajibika.
Tumekuwa tukilinganisha mabaya yetu badala ya mema yetu, kiasi tumefika pahala kila linapokuja suala zito linalomgusa kiongozi yoyote wa chama tunaishia kurudia yale yale:
- wetu hawajibiki kidogo tu, wenu hawajabiki sana,
- wetu ni fisadi kidogo tu, wenu ni fisadi sana,
- wetu anatukana kidogo tu, wenu anatukana sana n.k.
Hoja ya magari ya gharama ilianza na mtoto wa mkulima aliposema atalirudisha, amelirudisha? Kutorudisha gari Pinda hakumhalalishii Mbowe kuling'ang'ania. Vivyo hivyo kwa hoja ya posho. Wengi wamepinga, wangapi wamezikataa? Wengine kutokataa posho, hakuwalalalishii wengine kuzipokea.
Hata hivyo, ikiwa mmoja tu atakataa posho au gari, huyu atakuwa anawapa kauli na hoja wananchi wanaoliliwa vyao. Awe Pinda awe Mbowe, kukubali gari la mamia ya mamilioni ya gari wakati wananchi wananchi wanapelekewa vibajaji vya kuuzia Ice cream kama magari ya kubebea wagonjwa huo ni usaliti kwa wananchi.
Kwenye siasa, heshima ya kiongozi yeyote ni kutumiza ahadi zake, awe wa chama tawala au cha upinzani. Mimi nisingemuoana Mbowe mbaya kwa sababu ni mpinzani wala nisingemuona Pinda ni mwema kwa sababu ni mtawala au kinyume cha yake - WOTE WANWASALITI WANANCHI KWA KAULI ZAO.
We rejao mkuki kwa nguruwe eeehhh!!!! Wewe mbona umeleta kishabiki???? Yakuume hayo ya viongozi wako wa ccm kwanza ndo tuone kama una uchungu na nchi. Na shida ni mfumo wenu ndo mbovu....Tusijibu kishabiki tu kwa sababu tuna mapenzi na Chama husika. Jaribu kupima alichokizungumza na anachokitekeleza sasa. Ni vitu ambavyo haviwiani. Ni bora angekaa kimya aendelee tu kujifaidia V8 lake.
Kamuulize kama hachukui za mashirika ya umma... Na saivi yuko marekani mwezi sasa muulize kama halipwiNa Zitto alivyokataa posho na mpaka sasa hapokei, kwanini hakuambiwa kuwa anavunja sheria?
Hapo bado naquestion umakini wa CDM mnaouzungumzia kila siku
Kigogo,
Naona akili yako imekataa kabisa kukubali kama Mbowe hajarudisha gari ya kiongozi wa kambi ya upinzani bungneni.
Mkuu wangu Rejao mpenda amani, wanachosema Chadema kwenye majukwaa sio wanachokitekeleza.
Suala la gari ya kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni pamoja na posho ilikuwa ni mpango wa kuwavuta watu.
Chadema nzima ni mbunge moja tu ambaye kweli kakataa kuchukuwa posho ni Zitto Kabwe tu. Tindu Lissu, yeye anasema hataki posho lakini wanamuwekea kwenye account yake.
Chadema simamieni mnachokisema sio kuwadanganya wananchi.
Mwombe baba mwanaasha akupe kacheo kidogo nawe ufaidi kama unaona gere...Hiyo picha ni ya juzi Freeman Mbowe akiwa Clouds media.
Na mpaka leo hii huyu mheshimiwa anajifaidia hili gari..
Mkuu wangu Rejao mpenda amani, wanachosema Chadema kwenye majukwaa sio wanachokitekeleza.
Suala la gari ya kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni pamoja na posho ilikuwa ni mpango waPHP:kuwavuta watu.
Chadema nzima ni mbunge moja tu ambaye kweli kakataa kuchukuwa posho ni Zitto Kabwe tu. Tindu Lissu, yeye anasema hataki posho lakini wanamuwekea kwenye account yake.
Chadema simamieni mnachokisema sio kuwadanganya wananchi.
Utabaki hivyo hivyo milele na kutowezekana kwakoHiki ni kitu kisichowezekana,
Chamuhimu hapa siyo FIXED cost ambayo tayari imeshakuwa sunk cost ya kulinunulia hili gari. issue ipo kwenye maintainance, angekuwa amelikataa kama alivyosema, serikali ingekuwa imesave kiasi kikubwa sana cha fedha. Kuendelea kulitumia ni kuuongezea mzigo serikali.
Angalia usivyojua mambo, aliyekwambia wakati halitumii lilikua limepark tu ni nani???? Magamba wako wakubwa wenye sisiem walikua wakilitumiaChamuhimu hapa siyo FIXED cost ambayo tayari imeshakuwa sunk cost ya kulinunulia hili gari. issue ipo kwenye maintainance, angekuwa amelikataa kama alivyosema, serikali ingekuwa imesave kiasi kikubwa sana cha fedha. Kuendelea kulitumia ni kuuongezea mzigo serikali.
Asante kwa kuamua kuanika uongo wa baba mwanaasha na serikali yako hadharani, usicheze na wamwabuduo mungu kwa haki na kweli wewe!!!! Tulianza na mungu na tutamaliza na munguLakini sioni wa kumnyooshea mwezake kidole kwa haya yote. Hao wanaojidai wanaweza kuibadili Tanzania na mfumo uliopo, ndio hao hao ambao hawawezi kusimamia wanayoyasema.
View attachment 54426
Kwa taarifa tulizonazo na wanachi wengi wanavyofahamu, tayari hili gari V8 limekwisharudishwa na Mh. Freeman Mbowe. Lakini cha kushangaza bado huyu mkuu analitumia.
Nashindwa kuwaelewa hawa CDM, kelele zote wanazopiga ni kutuhadaa tu wananchi? Kama kwa hili dogo huyu Mh. kashindwa kulitekeleza, je hayo anayoyahubiri kila siku majukwaani ataweza kuyatekeleza?
Hii inanifanya nikose imani na wapinzani, yapo mengi tu wanayoyazungumza mbayo ukijaribu kuyaangalia utekelezaji wake ni kitu kisichowezekana. Cha muhimu hawa viongozi wetu wasiwe ni watu wa kutudanganya ili kujipatia umaarufu. Kama ukiamua kufanya kitu, fanya kweli!!
Next time, salimia then omba liftkweli mkuu nami nimemuona nalo akiingia mitaa ya ofisini kwao Kinondoni
Mkuu ritz, Hicho ndicho kinachosababisha watu wengi wanaojua kuchambua mambo wakose imani na wapinzani.
Kama waliamua kukakataa kitu, wangebaki na msimamo wao huo huo.
BTW, CHADEMA ni kama gari bovu lisilo na uelekeo maalumu. hawana common goal, kila mtu anajiamulia anvyojua. Leo kiongozi wa BAVICHA atasema hivi, kesho makamu wake atasema hivi, Slaa naye atakuja na lake, Mbowe naye...
View attachment 54426
kwa taarifa tulizonazo na wanachi wengi wanavyofahamu, tayari hili gari v8 limekwisharudishwa na mh. Freeman mbowe. Lakini cha kushangaza bado huyu mkuu analitumia.
Nashindwa kuwaelewa hawa cdm, kelele zote wanazopiga ni kutuhadaa tu wananchi? Kama kwa hili dogo huyu mh. Kashindwa kulitekeleza, je hayo anayoyahubiri kila siku majukwaani ataweza kuyatekeleza?
Hii inanifanya nikose imani na wapinzani, yapo mengi tu wanayoyazungumza mbayo ukijaribu kuyaangalia utekelezaji wake ni kitu kisichowezekana. Cha muhimu hawa viongozi wetu wasiwe ni watu wa kutudanganya ili kujipatia umaarufu. Kama ukiamua kufanya kitu, fanya kweli!!