- Thread starter
- #41
Ahsante mkuu Molemo.
Mimi kila siku huwa nasema hawa mamluki si wakuwachekea hata kidogo kwani wamezoea sana kuendekeza tamaa na majungu na fitina kwa lengo la kukiangamiza chama, yani walivyo na akili za kiduku wanadiriki kumchafua Dr.Slaa alafu upande wa pili wapo kumsafisha Shibuda,...ooh My God!!! Hivi hawa watu mind zao zipo sound kweli?
Jaman tusiache kamwe kuwachana ukweli wajinga hawa.
Mkuu Shardole nakushukuru.
Kwa pamoja Chadema itashinda waasi hawa na wachumia tumbo hawa.
Last edited by a moderator: