Kiongozi wa Juu BAVICHA amhujumu Dr Slaa

Ukijiuliza swali ni kwa nini TPP, TLP, UMD, CCK Hakuna migogoro ndio utapata jibu rahisi sana. kama Chadema inadhani CCM ipo tayari kukabidhi Madaraka softly basi ni kujidanganya bure, CCM sasa inaendesha siasa haramu na ni Do or die. Chadema ni lazima iwe Radical na isicheke kabisa na watu wa Aina ya Juliana.
 
Ukijiuliza swali ni kwa nini TPP, TLP, UMD, CCK Hakuna migogoro ndio utapata jibu rahisi sana. kama Chadema inadhani CCM ipo tayari kukabidhi Madaraka softly basi ni kujidanganya bure, CCM sasa inaendesha siasa haramu na ni Do or die. Chadema ni lazima iwe Radical na isicheke kabisa na watu wa Aina ya Juliana.

Na ile misuguano ndani ya CCM inasababishwa na nani? Nadhani kama taasisi inayoundwa na watu ni lazima ijidhatiti kukabiliana na misuguano ya namna hii na kuacha kutafuta suluhisho rahisi kwa kutupa lawama kwa CCM.
 
Wanajamvi,
Mkuu Pasco, wewe ni mwanasheria na unafahamu uzito wa mkosa na adhabu zake. Yapo makosa madogo yanayovumilika kwa kiwango fulani na yapo yasiyovumilika hatakidogo. Kumtwanga mtu kofi si sawa na uhaini (Treason).

Katika maeneo ya kazi tunajua kuwa kuna makosa ya kuonywa, kukaripiwa na kufukuzwa(summary dismissal).
Kwa mantiki hiyo kosa kama la Juliana la mwanzo na hizi tuhuma ni makubwa katika medani ya kisiasa na hayavumiliki.

Narudia kusema kuwa Juliana Shonza alifanya kitendo ambacho naishangaa Chadema kumvumilia.
Hata hivyo mshangao una majibu kuwa Juliana analindwa na viongozi wakubwa kichama. Hilo nitasimama nalo hadi mwisho.

Juliana kama makamu mwenyekiti wa BAVICHA hakuwa na nguvu za kwenda kumdhalilisha Mwenyekiti wake bila msukumo wa ndani kutoka kwa wakubwa. Alivunja taratibu kiwango cha hali ya juu sana na summary dismissal ndilo lilikuwa jibu.

Mwanakijiji aliandika bandiko kuhusu hilo nasi tulichangia vema na kushauri CDM iwahi ''udongo ungali maji''.
Katika uzi wa mgogoro wa midiwani Mwanza nilieleza kwa kina kwanini Juliana ni hatari pamoja na udogo kiumri na uchanga kisiasa. Nilikaripiwa na mmoja wa ''CDM insider'' kuwa nilikuwa na chuki binafsi.

Baada ya hapo, si BAVICHA au CDM taifa iliyochukua hatua kwa Juliana. Hii maana yake ni kuwa alikuwa na ulinzi uliokuwa una block justice. Ulinzi huo ukaonekana pale kiongozi mkubwa aliposimama na kumtetea Juliana tena katika magazeti.

Ni kiongozi huyo huyo aliandika makala kutetea hoja za wanachama kutangaza nia zao akijua kuwa chama bado ni kichanga na kilihitaji kujiimarisha zaidi kuliko kutafuta mgombea asiye na strong political suppor huko vijijini na wilayani.

Kiongozi huyo majuzi ametoa kauli zilizomlenga Mwenyekiti wake Mbowe kuhusu kauli zalizotoa kule Hai akiwa na Jk.
Alidai kuwa kushabikia ujenzi wa bara bara ni uzuzu. Tulionya kuwa kuna mtafaruku mkubwa(pitia nyuzi kwa ushahidi)

Hata kama alikuwa na hoja, kiongozi huyo alikuwa na nafasi ya kuongea na mwenyekiti wake bila kutoa kauli za kuonyesha kukigawa chama. Alifanya hivyo kwa lengo la kisiasa ili kuhakikisha kuwa anammaliza kwanza Mwneyekiti

Hivi karibuni Tumtemeke ameendeleza mapambano dhidi ya Dr Slaa. Sasa kuna habari za akina Eddo na Juliana.
Wakati hayo yakiendelea tulionya kuhusu social media kama FB zianvyotumika kuharibu chama.

Kwa mlolongo huo unaoonekana kukanganya ni wazi kuwa Juliana ni msemaji tu lakini nyuma yake wapo watu wanaotaka kuondoa ''kadhia'' ili malengo yao yatimie. Mkakati wao ni wa kimafia zaidi kuliko kidemokrasia.

Huko nyuma CDM iliwahi kumuondoa Kafulila aliyekuwa na ushawishi mkubwa sana tena na washirika wake.
Chama kilibaki kuwa imara hadi leo.

Kijijini Ilolo kuna watu wamepigwa na wengine kupoteza roho zao kama Mwanza, Arusha na Kwingineko.
Ilolo kuna waliotoa ardhi, wengine kufyatua matofali na kutumia nguvu zao.
Chadema ina rasilimali watu kubwa sana.Kuna vijana wana mitazamo haswa na wapo nje wanajenga chama.

Swali la kujiuliza kwanini Juliana Shonza asiye na mchango wowote ndani ya chama the least to say aonekane kuwa na nguvu kubwa kiasi hicho. Hapo ndipo tatizo lilipo na CDM waanzie hapo.
Juliana ana kitu gani cha ziada kuyumbisha na kudhalilisha mabadiliko ya kisiasa kiasi hicho.

Nguvu ya Juliana inatoka wapi na kwanini, hapo ndipo CDM wanapswa kuanzia napo

Akina Nape wamepata nafasi ya kukirudisha chama nyuma.
Leo badala ya kuongelea M4C na harakati nyingine kama katiba n.k. watu wanajadili mambo yasiyo na ushahidi.

Napenda nieleweke kuwa kila kiongozi wa kisiasa anapaswa kuwa scrutinized na hakuna mwenye immunity.
Justice must prevail, however there should be the discipline within the party.

Hii ni jambo la dharura na si la kusema subirini muone. Uharibifu ni mkubwa sana na hakuna dalili za Damage control.
Chama ni watu si personalities, na hakuna mtu anayeweza kusimama kama chama peke yake.
Kuamini persoanalities ni kudharau mamilioni ya wananchi wanaoweka imani yao juu ya CDM.

Hakuna njia ya mkatao kujinusuru isipokuwa hatua za haraka na dharura zikazosimama katika demokrasia, sheria na haki.

Mkiendelea na hoja za kumwacha Juliana abalahe basi sasa anabalehe kweli kweli maana anayumbisha nyumba.
Sikilizeni watu wanasema nini, chagueni mchele tupeni pumba, msitupe gunia lote CDM.
 
Wanajamvi,
Mkuu Pasco, wewe ni mwanasheria na unafahamu uzito wa mkosa na adhabu zake. Yapo makosa madogo yanayovumilika kwa kiwango fulani na yapo yasiyovumilika hatakidogo. Kumtwanga mtu kofi si sawa na uhaini (Treason).

Katika maeneo ya kazi tunajua kuwa kuna makosa ya kuonywa, kukaripiwa na kufukuzwa(summary dismissal).
Kwa mantiki hiyo kosa kama la Juliana la mwanzo na hizi tuhuma ni makubwa katika medani ya kisiasa na hayavumiliki.

Narudia kusema kuwa Juliana Shonza alifanya kitendo ambacho naishangaa Chadema kumvumilia.
Hata hivyo mshangao una majibu kuwa Juliana analindwa na viongozi wakubwa kichama. Hilo nitasimama nalo hadi mwisho.

Juliana kama makamu mwenyekiti wa BAVICHA hakuwa na nguvu za kwenda kumdhalilisha Mwenyekiti wake bila msukumo wa ndani kutoka kwa wakubwa. Alivunja taratibu kiwango cha hali ya juu sana na summary dismissal ndilo lilikuwa jibu.

Mwanakijiji aliandika bandiko kuhusu hilo nasi tulichangia vema na kushauri CDM iwahi ''udongo ungali maji''.
Katika uzi wa mgogoro wa midiwani Mwanza nilieleza kwa kina kwanini Juliana ni hatari pamoja na udogo kiumri na uchanga kisiasa. Nilikaripiwa na mmoja wa ''CDM insider'' kuwa nilikuwa na chuki binafsi.

Baada ya hapo, si BAVICHA au CDM taifa iliyochukua hatua kwa Juliana. Hii maana yake ni kuwa alikuwa na ulinzi uliokuwa una block justice. Ulinzi huo ukaonekana pale kiongozi mkubwa aliposimama na kumtetea Juliana tena katika magazeti.

Ni kiongozi huyo huyo aliandika makala kutetea hoja za wanachama kutangaza nia zao akijua kuwa chama bado ni kichanga na kilihitaji kujiimarisha zaidi kuliko kutafuta mgombea asiye na strong political suppor huko vijijini na wilayani.

Kiongozi huyo majuzi ametoa kauli zilizomlenga Mwenyekiti wake Mbowe kuhusu kauli zalizotoa kule Hai akiwa na Jk.
Alidai kuwa kushabikia ujenzi wa bara bara ni uzuzu. Tulionya kuwa kuna mtafaruku mkubwa(pitia nyuzi kwa ushahidi)

Hata kama alikuwa na hoja, kiongozi huyo alikuwa na nafasi ya kuongea na mwenyekiti wake bila kutoa kauli za kuonyesha kukigawa chama. Alifanya hivyo kwa lengo la kisiasa ili kuhakikisha kuwa anammaliza kwanza Mwneyekiti

Hivi karibuni Tumtemeke ameendeleza mapambano dhidi ya Dr Slaa. Sasa kuna habari za akina Eddo na Juliana.
Wakati hayo yakiendelea tulionya kuhusu social media kama FB zianvyotumika kuharibu chama.

Kwa mlolongo huo unaoonekana kukanganya ni wazi kuwa Juliana ni msemaji tu lakini nyuma yake wapo watu wanaotaka kuondoa ''kadhia'' ili malengo yao yatimie. Mkakati wao ni wa kimafia zaidi kuliko kidemokrasia.

Huko nyuma CDM iliwahi kumuondoa Kafulila aliyekuwa na ushawishi mkubwa sana tena na washirika wake.
Chama kilibaki kuwa imara hadi leo.

Kijijini Ilolo kuna watu wamepigwa na wengine kupoteza roho zao kama Mwanza, Arusha na Kwingineko.
Ilolo kuna waliotoa ardhi, wengine kufyatua matofali na kutumia nguvu zao.
Chadema ina rasilimali watu kubwa sana.Kuna vijana wana mitazamo haswa na wapo nje wanajenga chama.

Swali la kujiuliza kwanini Juliana Shonza asiye na mchango wowote ndani ya chama the least to say aonekane kuwa na nguvu kubwa kiasi hicho. Hapo ndipo tatizo lilipo na CDM waanzie hapo.
Juliana ana kitu gani cha ziada kuyumbisha na kudhalilisha mabadiliko ya kisiasa kiasi hicho.

Nguvu ya Juliana inatoka wapi na kwanini, hapo ndipo CDM wanapswa kuanzia napo

Akina Nape wamepata nafasi ya kukirudisha chama nyuma.
Leo badala ya kuongelea M4C na harakati nyingine kama katiba n.k. watu wanajadili mambo yasiyo na ushahidi.

Napenda nieleweke kuwa kila kiongozi wa kisiasa anapaswa kuwa scrutinized na hakuna mwenye immunity.
Justice must prevail, however there should be the discipline within the party.

Hii ni jambo la dharura na si la kusema subirini muone. Uharibifu ni mkubwa sana na hakuna dalili za Damage control.
Chama ni watu si personalities, na hakuna mtu anayeweza kusimama kama chama peke yake.
Kuamini persoanalities ni kudharau mamilioni ya wananchi wanaoweka imani yao juu ya CDM.

Hakuna njia ya mkatao kujinusuru isipokuwa hatua za haraka na dharura zikazosimama katika demokrasia, sheria na haki.

Mkiendelea na hoja za kumwacha Juliana abalahe basi sasa anabalehe kweli kweli maana anayumbisha nyumba.
Sikilizeni watu wanasema nini, chagueni mchele tupeni pumba, msitupe gunia lote CDM.

Wewe na Ben Saanane hamna tofauti.Mmekua radical na mnaonyesha udikteta na ubabe.Afadhali Heche abakie kuwa mwenyekiti kuliko ben saanane kuchukua nafasi hiyo.atakua kama gaddafi.god forbid
 
Wewe na Ben Saanane hamna tofauti.Mmekua radical na mnaonyesha udikteta na ubabe.Afadhali Heche abakie kuwa mwenyekiti kuliko ben saanane kuchukua nafasi hiyo.atakua kama gaddafi.god forbid
Wala usiwe na hofu ndugu yangu, haya ni maoni yangu. Mimi husema kile ninachokiona.
Nimesema sifungamani na upande wowote wala sina sina uanachama wa chama cha kisiasa.

Wenye chama wataamua pumba waweke pembeni kama kuna chembe za mchele wakusanye.
Kama raia nafanya ninachopaswa, I will take on all political parties without fear or favour!
 
Asante mkuu Nguruvi3 kwa kudadavua siasa zetu za ndani nimegundua kila tamko la kiongozi yeyote wa chama halitoki kwa bahati mbaya..sisi wengine tumeishia kuwa mashabiki na watetezi wa chama mitaani..tuombe Mungu huu upepo upite bila kuezua paa la nyumba yetu japo kwa mbali nyufa zinaonekana.!
 
Last edited by a moderator:
But when it comes to your revered Lowasa, he is infallible. Nimekusoma mkuu.
Baada ya malaika mkuu Mikaeli, anafuatiwa na Gabrieli ndipo anakuja Edwaeli, ni mtakatifu kabisa hana hata chembe ya dhambi!, hata ile issue ya richmonduli, alibeba mizigo watu, ili kupitia kwayo, wao waokoke na ni kwa kupigwa kwake, CCM iliponywa!.
 
Wanajamvi,
Mkuu Pasco, wewe ni mwanasheria na unafahamu uzito wa mkosa na adhabu zake. Yapo makosa madogo yanayovumilika kwa kiwango fulani na yapo yasiyovumilika hatakidogo. Kumtwanga mtu kofi si sawa na uhaini (Treason).

Katika maeneo ya kazi tunajua kuwa kuna makosa ya kuonywa, kukaripiwa na kufukuzwa(summary dismissal).
Kwa mantiki hiyo kosa kama la Juliana la mwanzo na hizi tuhuma ni makubwa katika medani ya kisiasa na hayavumiliki.

Narudia kusema kuwa Juliana Shonza alifanya kitendo ambacho naishangaa Chadema kumvumilia.
Hata hivyo mshangao una majibu kuwa Juliana analindwa na viongozi wakubwa kichama. Hilo nitasimama nalo hadi mwisho.

Juliana kama makamu mwenyekiti wa BAVICHA hakuwa na nguvu za kwenda kumdhalilisha Mwenyekiti wake bila msukumo wa ndani kutoka kwa wakubwa. Alivunja taratibu kiwango cha hali ya juu sana na summary dismissal ndilo lilikuwa jibu.

Mwanakijiji aliandika bandiko kuhusu hilo nasi tulichangia vema na kushauri CDM iwahi ''udongo ungali maji''.
Katika uzi wa mgogoro wa midiwani Mwanza nilieleza kwa kina kwanini Juliana ni hatari pamoja na udogo kiumri na uchanga kisiasa. Nilikaripiwa na mmoja wa ''CDM insider'' kuwa nilikuwa na chuki binafsi.

Baada ya hapo, si BAVICHA au CDM taifa iliyochukua hatua kwa Juliana. Hii maana yake ni kuwa alikuwa na ulinzi uliokuwa una block justice. Ulinzi huo ukaonekana pale kiongozi mkubwa aliposimama na kumtetea Juliana tena katika magazeti.

Ni kiongozi huyo huyo aliandika makala kutetea hoja za wanachama kutangaza nia zao akijua kuwa chama bado ni kichanga na kilihitaji kujiimarisha zaidi kuliko kutafuta mgombea asiye na strong political suppor huko vijijini na wilayani.

Kiongozi huyo majuzi ametoa kauli zilizomlenga Mwenyekiti wake Mbowe kuhusu kauli zalizotoa kule Hai akiwa na Jk.
Alidai kuwa kushabikia ujenzi wa bara bara ni uzuzu. Tulionya kuwa kuna mtafaruku mkubwa(pitia nyuzi kwa ushahidi)

Hata kama alikuwa na hoja, kiongozi huyo alikuwa na nafasi ya kuongea na mwenyekiti wake bila kutoa kauli za kuonyesha kukigawa chama. Alifanya hivyo kwa lengo la kisiasa ili kuhakikisha kuwa anammaliza kwanza Mwneyekiti

Hivi karibuni Tumtemeke ameendeleza mapambano dhidi ya Dr Slaa. Sasa kuna habari za akina Eddo na Juliana.
Wakati hayo yakiendelea tulionya kuhusu social media kama FB zianvyotumika kuharibu chama.

Kwa mlolongo huo unaoonekana kukanganya ni wazi kuwa Juliana ni msemaji tu lakini nyuma yake wapo watu wanaotaka kuondoa ''kadhia'' ili malengo yao yatimie. Mkakati wao ni wa kimafia zaidi kuliko kidemokrasia.

Huko nyuma CDM iliwahi kumuondoa Kafulila aliyekuwa na ushawishi mkubwa sana tena na washirika wake.
Chama kilibaki kuwa imara hadi leo.

Kijijini Ilolo kuna watu wamepigwa na wengine kupoteza roho zao kama Mwanza, Arusha na Kwingineko.
Ilolo kuna waliotoa ardhi, wengine kufyatua matofali na kutumia nguvu zao.
Chadema ina rasilimali watu kubwa sana.Kuna vijana wana mitazamo haswa na wapo nje wanajenga chama.

Swali la kujiuliza kwanini Juliana Shonza asiye na mchango wowote ndani ya chama the least to say aonekane kuwa na nguvu kubwa kiasi hicho. Hapo ndipo tatizo lilipo na CDM waanzie hapo.
Juliana ana kitu gani cha ziada kuyumbisha na kudhalilisha mabadiliko ya kisiasa kiasi hicho.

Nguvu ya Juliana inatoka wapi na kwanini, hapo ndipo CDM wanapswa kuanzia napo

Akina Nape wamepata nafasi ya kukirudisha chama nyuma.
Leo badala ya kuongelea M4C na harakati nyingine kama katiba n.k. watu wanajadili mambo yasiyo na ushahidi.

Napenda nieleweke kuwa kila kiongozi wa kisiasa anapaswa kuwa scrutinized na hakuna mwenye immunity.
Justice must prevail, however there should be the discipline within the party.

Hii ni jambo la dharura na si la kusema subirini muone. Uharibifu ni mkubwa sana na hakuna dalili za Damage control.
Chama ni watu si personalities, na hakuna mtu anayeweza kusimama kama chama peke yake.
Kuamini persoanalities ni kudharau mamilioni ya wananchi wanaoweka imani yao juu ya CDM.

Hakuna njia ya mkatao kujinusuru isipokuwa hatua za haraka na dharura zikazosimama katika demokrasia, sheria na haki.

Mkiendelea na hoja za kumwacha Juliana abalahe basi sasa anabalehe kweli kweli maana anayumbisha nyumba.
Sikilizeni watu wanasema nini, chagueni mchele tupeni pumba, msitupe gunia lote CDM.
Mkuu Nguruvi3, kwanza naomba niweke point of clarification, mimi Pasco wa jf sio mwanasheria, bali nimesomea sheria!. Kusomea sheria tuu, hakumfanyi mtu kuwa mwanasheria, bali mwanasheria ni yule aliyesomea na kupractice!.

Nikirudi kwenye mada, I don't believe in politics of confrontations and pointing accusing fingers at one another kwa kisingizio cha usaliti, uhujumu, umamluki, undumilakuwili etc, etc!. I believe in politics of tolerance, endurance and acceptance of diferent opinion and managing political diversity.

Ill motive assumptions za kutoaminiana, ni sumu katika siasa ndio maana kila atakaonyesha kumpiga fulani, huyo anageuzwa "an enemy of the people"!. Chadema. Chadema kimesha onyesha ukomavu wa hali ya juu sana wa usatahimilivu, kuwavumilia "dissidents" from within kwa kuwa ignore tuu. Kwani siku hizi mnamsikia tena Shibuda au mnamsikia ZZK na kugombea 2015?. Kama mliweza kuwavumilia wengine kwa ku ignore, then why not haka kabinti?.

Nakubaliana na wewe, kuna makosa madogo na makubwa, ila hakuna kosa ambalo halivumiliki ndio maana wapenda haki duniani kote, wanalaani "capital punishment"!. Mkosaji huonywa na kurekebishwa, asiporekebishika ndipo hatua zaidi zingefuata.

Naomba kukuuliza Mkuu Nguruvi3, do you believe hii hoja ya watu kuwa under the payroll ya upande wa pili?.

P.
 
CCM, watatumia kila aina ya mbinu ili kuhakikisha wanaivuruga CHADEMA. Muhimu ni Chadema kukaa macho kwa kila mbinu. Hata hivyo mbinu hizi za Kadi, zimepitwa na wakai. Wakati wa Chama kimoja watanzania wote na hasa wasomi walikuwa na kadi za CCM, ili kusoma na kupata nafasi za kazi. Baada ya wingu hilo kupita wengi wamebaki na kadi hizo. Hii haina maana kwamba hawa ni wanachama wa CCM. Nape, analijua hilo, lakini kazi yake ni kutumia kila njia. Mara nyingi wanatumiwa vijana ambao wako tayari kununuliwa. Na kama mtu yuko tayari kununuliwa hawezi kuleta mapinduzi ya msingi katika jamii. Ni muuhimu kuwabaini vijana hawa na kuwashughulikia!
 
Mkuu Nguruvi3, kwanza naomba niweke point of clarification, mimi Pasco wa jf sio mwanasheria, bali nimesomea sheria!. Kusomea sheria tuu, hakumfanyi mtu kuwa mwanasheria, bali mwanasheria ni yule aliyesomea na kupractice!.

Nikirudi kwenye mada, I don't believe in politics of confrontations and pointing accusing fingers at one another kwa kisingizio cha usaliti, uhujumu, umamluki, undumilakuwili etc, etc!. I believe in politics of tolerance, endurance and acceptance of diferent opinion and managing political diversity.

Ill motive assumptions za kutoaminiana, ni sumu katika siasa ndio maana kila atakaonyesha kumpiga fulani, huyo anageuzwa "an enemy of the people"!. Chadema. Chadema kimesha onyesha ukomavu wa hali ya juu sana wa usatahimilivu, kuwavumilia "dissidents" from within kwa kuwa ignore tuu. Kwani siku hizi mnamsikia tena Shibuda au mnamsikia ZZK na kugombea 2015?. Kama mliweza kuwavumilia wengine kwa ku ignore, then why not haka kabinti?.

Nakubaliana na wewe, kuna makosa madogo na makubwa, ila hakuna kosa ambalo halivumiliki ndio maana wapenda haki duniani kote, wanalaani "capital punishment"!. Mkosaji huonywa na kurekebishwa, asiporekebishika ndipo hatua zaidi zingefuata.

Naomba kukuuliza Mkuu Nguruvi3, do you believe hii hoja ya watu kuwa under the payroll ya upande wa pili?.

P.
Mkuu Pasco, kwanza nikutake radhi kwani nilivyoelewa ni kuwa wewe ni mtu wa sheria na uzi wako mmoja uliwahi kusema ungeacha kazi ya sasa na kurudi katika fani. Samahani kama sikukuelewa vema.

Mkuu, mimi naamini sana katika siasa za kupambanisha hoja.siku zote nimekuwa nasimamia penye ukweli na haki.
Siasa si kuvumiliana tu bali kupingana bila kupigana.
Ningefurahi sana kuona ndani ya vyama kuna mgongano wa mawazo yenye tija.

Mfano, kama Tundu Lissu anaongelea hoja hii basi Mnyika anaweza kuiangalia kwa engo nyingine katika mizania ya sera za chama. Ndivyo hivyo kwa CCM, CUF au Kwa Mheshimiwa Kuga Mziray na TPP.

Kinachotokea sasa hivi ndani ya CDM si kushindanisha hoja bali ni hujuma ndani ya chama.
Endapo mtu ana ushahidi wa Dr Slaa kulipia kadi awe CCM au CDM aweke hapa na utaona tutakavyodadavua kutafuta ukweli bila kumpendelea, kumuonea au kumsamehe awaye.

Siasa za sasa hivi ndani ya CDM zimekuwa za majitaka kama zile za CCM.
Unakumbuka tumewakosa viongozi bora sana miaka 6 iliyopita kwa kuambiwa kwa umafia wa CCM ndani ya CCM yenyewe

Matatizo ya CCM ndio hayo ya kwenda kuwaibua akina Mangula na Kinana ili kuja kupoza moto.
Hiyo ni Asprin ya maumivu kwasababu mzizi wa fitna ndani ya CCM ni mkubwa na ni suala la muda tu.

Walioanzisha sakata la CCM ni vigogo wakiwatumia akina Nape, Nchimbi, Amos Makala n.k.
Ndipo mitandao iliyoishia kukivuruga chama ilipoanza.
Tangu wakati huo CCM inaugulia na nakuahidi miaka 2 kidonda kitavuja damu tena.

Huko ndiko CDM inapoelekea kama ilivyokuwa kwa CUF, NCCR na TLP.
Kuvumiliana kumezaa akina ADC n.k.
Ukiangalia chanzo cha yote ni choko choko zilizopaliliwa na Utamadanu unaoupigia upatu wa kuvumiliana.

Nadhani Pasco unataka CDM kisambaratike maana wewe ni shahidi kuwa kuvumiliana ndiko kumezaa Magamba ambayo leo yanatamba na hakuna wa kuweza kuyatia adabu achilia mbali kunyooshea vidole. Muulize Nape akupe habari nzima.

Juliana ni mdogo katika kila unachofikiri. Haiingii akilini kuwa anaweza kukidhalilisha chama na bado aendelee kuwepo.
Tunataka tujenge taifa la viongozi waadilifu kuanzia chekechea.
Hii si kwa CDM tu bali TLP, PPT Maendeleo, NCCR,TLP na CUF.

Hakuna shaka mbinu inayotumika ya kumtumia Juliana si ya kujenga mawazo mbadala yanayoweza kuvumilika na kukubalika bali ni Umafia unaolenga kukata tawi walillokalia wanaopalilia mzozo huu.

Umafia huo umeanza na akina Tuntemeke, hivi karibuni kuchonganisha Josephine na Halima, huku Mbowe na Dr Slaa wakiandamwa kwa utaratibu ulio nje ya demokrasia ikiwa ni pamoja na matusi n.k.

Mbowe na Slaa ni viongozi na narudia wao kama wanasiasa ni vulnerable katika siasa za ushindani.
Hilo halitoi nafasi ya wanachama wao has watoto kama akina Juliana kuwafanyia hila za kitoto na kipuuzi.

Ningefurahi na kumtetea kiongozi ambaye angesimama na kusema kauli ya Mbowe kule Hai haikuendana na dhana ya chama chake na kama kiongozi wa upinzani alionyesha udhaifu mkubwa sana.
Mtu huyo ataje jina na aeleze kwanini anadhani kauli hiyo ina utata.

Ningefurahi na kumtetea mtu ambaye angetaja jina na kumtaka Dr Slaa asafishe hali ya hewa kwasababu ukimya wake unaleta uharibifu usio wa lazima ndani ya chama.

Ningemtetea mtu ambaye angesimama na kuhoji kwanini CDM chini ya uongozi huu imeitosa agenda ya katiba waliokabidhiwa na wananchi. Nini angefanya na kwa utaratibu gani.

Ningemuunga mkono mtu ambaye angetoa ushahidi kuwa Josephine anaandaliwa kuwa Mbunge na ushahidi huo uwe wa ukweli, kina na timilifu.

Ningemtetea mtu atakayesimama na kueleza kwani anampinga kiongozi fulani kutokana na sera za chama.
Wanatafsiri vipi sera za chama na wana maono gani kuendeleza na kujenga sera hizo katika jamii
Hayo ndiyo mawazo ''healthy''

Hizi mbinu za kuteteana magazetini na kuwatumia akina Juliana hazina nia njema na Chadema hata kidogo.
Hili kundi linalotaka kupata uongozi si kwa hoja bali vioja ni hatari sana. Ni kundi kama hilo linaloiumiza CCM.

Pasco, hapa simzungumzii Juliana kama mtu namuongelea Juliana kama kipaza sauti cha wahujumu wa chama.
Juliana ametengeneza volatile environment iliyompa Nape nafasi ya kutumbukiza hoja zake.

Kwa vile hali ni volatile tunaona yanayotokea. Kuendelea na utamaduni wa CCM wa kuvumiliana katika uovu na si hoja ni udhaifu mkubwa sana wa chama kinachojiandaa kutwaa madaraka.

Naomba niwe blunt kidogo, ni watu watatu wanaoongoza kundi la vijana ili kuleta mtafaruku usio wa lazima.
Nimetoa hint za kutosha katika mabandiko yangu na nasimama pale pale, Juliana Shonza pamoja na udogo na uchanga wake ni hatari sana kwasababu yeye ni mshumaa, hana cha kupoteza hata kama nyumba itateketea

Anatumika yeye na jeshi lake la vijana kummaliza Mbowe na Dr Slaa si kwa hoja bali umafia.
Mchezo wa siasa za kihuni ukiachiwa uendelee basi tutabaki na CDM vitabuni kama ilivyo CUF, NCCR na TLP.

Ukitaka kujua nguvu za Juliana subiri utaona.
 
Mkuu Pasco, kwanza nikutake radhi kwani nilivyoelewa ni kuwa wewe ni mtu wa sheria na uzi wako mmoja uliwahi kusema ungeacha kazi ya sasa na kurudi katika fani. Samahani kama sikukuelewa vema.

Nadhani Pasco unataka CDM kisambaratike maana wewe ni shahidi kuwa kuvumiliana ndiko kumezaa Magamba ambayo leo yanatamba na hakuna wa kuweza kuyatia adabu achilia mbali kunyooshea vidole. Muulize Nape akupe habari nzima.

Juliana ni mdogo katika kila unachofikiri. Haiingii akilini kuwa anaweza kukidhalilisha chama na bado aendelee kuwepo.
Tunataka tujenge taifa la viongozi waadilifu kuanzia chekechea.
Hii si kwa CDM tu bali TLP, PPT Maendeleo, NCCR,TLP na CUF.

Hakuna shaka mbinu inayotumika ya kumtumia Juliana si ya kujenga mawazo mbadala yanayoweza kuvumilika na kukubalika bali ni Umafia unaolenga kukata tawi walillokalia wanaopalilia mzozo huu.

Umafia huo umeanza na akina Tuntemeke, hivi karibuni kuchonganisha Josephine na Halima, huku Mbowe na Dr Slaa wakiandamwa kwa utaratibu ulio nje ya demokrasia ikiwa ni pamoja na matusi n.k.

Mbowe na Slaa ni viongozi na narudia wao kama wanasiasa ni vulnerable katika siasa za ushindani.
Hilo halitoi nafasi ya wanachama wao has watoto kama akina Juliana kuwafanyia hila za kitoto na kipuuzi.

Ningefurahi na kumtetea kiongozi ambaye angesimama na kusema kauli ya Mbowe kule Hai haikuendana na dhana ya chama chake na kama kiongozi wa upinzani alionyesha udhaifu mkubwa sana.
Mtu huyo ataje jina na aeleze kwanini anadhani kauli hiyo ina utata.

Ningefurahi na kumtetea mtu ambaye angetaja jina na kumtaka Dr Slaa asafishe hali ya hewa kwasababu ukimya wake unaleta uharibifu usio wa lazima ndani ya chama.

Ningemtetea mtu ambaye angesimama na kuhoji kwanini CDM chini ya uongozi huu imeitosa agenda ya katiba waliokabidhiwa na wananchi. Nini angefanya na kwa utaratibu gani.

Ningemuunga mkono mtu ambaye angetoa ushahidi kuwa Josephine anaandaliwa kuwa Mbunge na ushahidi huo uwe wa ukweli, kina na timilifu.

Ningemtetea mtu atakayesimama na kueleza kwani anampinga kiongozi fulani kutokana na sera za chama.
Wanatafsiri vipi sera za chama na wana maono gani kuendeleza na kujenga sera hizo katika jamii
Hayo ndiyo mawazo ''healthy''

Hizi mbinu za kuteteana magazetini na kuwatumia akina Juliana hazina nia njema na Chadema hata kidogo.
Hili kundi linalotaka kupata uongozi si kwa hoja bali vioja ni hatari sana. Ni kundi kama hilo linaloiumiza CCM.

Pasco, hapa simzungumzii Juliana kama mtu namuongelea Juliana kama kipaza sauti cha wahujumu wa chama.
Juliana ametengeneza volatile environment iliyompa Nape nafasi ya kutumbukiza hoja zake.

Kwa vile hali ni volatile tunaona yanayotokea. Kuendelea na utamaduni wa CCM wa kuvumiliana katika uovu na si hoja ni udhaifu mkubwa sana wa chama kinachojiandaa kutwaa madaraka.

Naomba niwe blunt kidogo, ni watu watatu wanaoongoza kundi la vijana ili kuleta mtafaruku usio wa lazima.
Nimetoa hint za kutosha katika mabandiko yangu na nasimama pale pale, Juliana Shonza pamoja na udogo na uchanga wake ni hatari sana kwasababu yeye ni mshumaa, hana cha kupoteza hata kama nyumba itateketea

Anatumika yeye na jeshi lake la vijana kummaliza Mbowe na Dr Slaa si kwa hoja bali umafia.
Mchezo wa siasa za kihuni ukiachiwa uendelee basi tutabaki na CDM vitabuni kama ilivyo CUF, NCCR na TLP.

Ukitaka kujua nguvu za Juliana subiri utaona.
Mkuu Nguruvi3, you are right kuhusu fani, ni kweli baada ya kuhitimu sheria, niliamua kubakia kwenye media doing what I love most nikiamini huku ndiko nitako isaidia jamii ipasavyo. Baadae nimekuja kugundua jamii ya walio wengi, wanahitaji zaidi msaada wa kisheria kuliko jamii inavyohitaji habari!, hivyo ni kweli, nafanya wind up ya habari, nihamishie hudumu yangu kwa wahitaji zaidi, hii ikimaanisha doing something you don't love most, but you have to do it just because such services are needed most!.

Nikirudi kwa Chadema, honestly siamini kuwa Juliana anatumiwa!. Kitu ninachokijua kuhusu baadhi ya viongozi wa jinsia ya kike, walioupata uongozi wao kwa sababu za kijinsia, na wakaugundua udhaifu wa baadhi ya viongozi wetu wa kiume katika jinsia ya kike, wataitumia jinsia yao to gain power na hivyo kujiona wao ndio kama hao wanaoutumia udhaifu wao to gain power as an advantage!, hata wakizungumza, watazungumza kwa viburi vya ajabu kisa wanawahudumu wenye power, hivyo wanajisikia hizo powers za wanao wahudumu ndizo zao!.

Kwa vile umekiri, kuna mahali binti anaegemea, kama Chadema wanayo jeuri ya kulikabili egemeo, then tusubiri tuone, vinginevyo hawa wadada "social climbers", wakisha gundua udhaifu wa hao wenye powers, kazi yao huwa ni kuhudumu tuu to gain powers!, wewe unaweza kudhania agemeo ni fulani tuu, kumbe mwenzio amezichanga karata zake vizuri na kuhudumu left, right and centre hivyo sasa yeye ni "binti mfalme", untouchable!.

Ila pia lazima tukubali tukatae, Chadema ni wazito mno kujifunza dhana ya "demage control"!. Yale madesa umeyamwaga humu bure, wao wanaendelea kucheza makida makida kwa kuchezea shilingi kwenye shimo la choo!, ama kweli ukimchekea nyani, utayavuna mabua!.

Kwa kuwa umemalizia kwa kutuambia tusubiri tuone, sisi tunasubiri tuone, ila pia bado siamini kuwa yule kijana wangu ambaye ni young, bright to good strategist, anaweza kuutumia mbinu za udhaifu ule ule uliomponza, Adam, Samsoni, Suleimani na manabii wengine, akifikiri mbinu hizo zitamfikisha kileleni!. Siamini mpaka niaminishwe!. Kwenye debe la urais, n ilisha muonya kuhusu Ngoma Ikivuma Sana...!. lakini kwenye hili, siamini na ninasimama nae!.

Pasco.
 
What are suggesting. Ikibainika kuwa huyu Shonza ndiye anatumiwa na kina Nape asifukuzwe uanachama? Nilifikiri ungekuwa na akili nzuri kuliko za samaki.

Hukuwa clear mwanzoni kwamba unataka afukuzwe nani!, POLE SANA.

Pili hasira hasara. Kutukana mtu siyo kuimarisha hoja. Ukue japo kidogo!

Tatu, kwa faida yako, unapaswa kuwaza mbali zaidi. Si kila mgogoro unahitaji kufukuzana. Kufukuzana si mwarobani wa matatizo yote duniani. Si kila mara utatatua matatizo yako ama yaliyo katika jamii yako kwa kufukuzana. Apparently you willl need some knowledge on conflict resolutions.

Pole sana na mchana mwema.
 
Mkuu Ben, haya mambo ya kuitana "wasaliti" sio mambo!. Chadema kama chama kimeshaonyesha ukomavu wa hali juu katika "managing political divesity" kwa kuwavumilia na kuwastahimilia wale wanaotofautiana nao, mfano Shibuda na ZZK. Vivyo hivyo, kama imesemwa Dr. bado anaimiliki kadi yake ya CCM, in good faith kwa madhumuni ya kumbukumbu tuu, its not a big deal, ila kama kadi hiyo imeendelea kulipiwa na ikathibitika anae endelea kuilipia ni yeye mwenyewe!, this is a big deal!.

Kuna mahali Mkuu Molemo amesema Chadema is a movement, na sio personalities, hivyo kuna baadhi ya issues zinahitaji kuwa dealt with appropriately. Kama Chadema wangezisoma zile makala za Mkuu Nguruvi 3 kuhusu "demage control", hii issues ingeisha there and then!. Hakune ambaye angethubutu kuhoji chochote!.

Kitu ambacho mimi sikikubali kwa baadhi ya wapenzi, mashabiki na wanachama wa Chadema, ni kitendo cha baadhi yenu kuwaabudu baadhi ya viongozi wenu na kuwaona kama malaika!, hawawezi kukosea!, kila wafanyacho its right!, wakati ukweli halisi sio hivyo!. Viongozi wote wa vyama vyote duniani pia are humans and can make mistakes!. Wakifanya makosa, kwa nyinyi wanachama, mnao utaratibu wenu kuwasilisha malalamiko yoyote kupitia chanels zenu kichama, sisi tusio wanachama, tukiwaona viongozi wenu wanaboronga, tunawalipua tuu. Sasa ukileta ukosoaji wowote wa Chadema humu, wale "waabudu watu" watakushukia as if umetenda dhabi kubwa!.

Kuelekea 2015, nyinyi wenyewe mnalo jukumu kubwa la kujifanyia self scrutiny kuhusu viongozi wenu, their abilities na capabilities to stand chances and challenges za kuelekea ikulu, zile hoja na lazima awe ni fulani tuu kwa sababu anapendwa sana!, anaheshimiwa sana!, au amejenga sana chama!, don't hold water kwenye uchaguzi ujao, uchaguzi ujao unahitaji watu wenye impecable integrity, hivi vidoa vidogo vidogo, mara kesi ya kutelekeza familia, mara kuishi na kimada, mara kumiliki kadi ya CCM na mengine mengi yatafuatia kwa vile ni ya kupika, vidoa hivi vidogo vidogo vikiendelea kuachiwa kuachiwa hivi hivi vikiendelea kuji accumulate, hatimaye vitajikusanya na kuonekana kama ni doa la ukweli, hivyo msiwaabudu watu!, hata kama ni viongozi wenu na mnawapenda vipi, wakiboronga, waambieni ukweli na ni ukweli tuu ndio utakaowaweka huru!.

Pasco.

Msaliti ni lazima aitwe kwa jina lake.Mkiwa kwenye mapambano halafu baadhi yao wakaamua kuchukua sialaha za adui kuwageuzia ninyi wataitwa kwa jina gani?Wanaharakati?Waoga? wau waitwe jina gani.Any other name is a mere rhetorical tag....!


Kama tunaongelea watu ambao wameshagombea ubunge ni dhahiri kwamba unaongelea kuhusu watu wenye upeo wa kujua jema na baya.

Hatuwezi kujenga chama cha siasa na kufanya maandalizi ya kuchukua Dola halafu tukafumbia macho mambo ya hovyo.Ni lazima tuchukue radical stance kwenye issues nzito ambazo zinatishia umoja wetu.

Siku zote mimi ni mpigania uhuru wa mawazo na hapa JF mara nyingi nimekua nikiwaasa wafuasi wa CHADEMA kukubali kukosolewa.Haihitaji Degree kujua kwamba kutukana CHAMA na Viongozi wake tena bila kujenga hoja ni jambo la ovyo na udhalilishaji wa vuguvugu hili la mabadiliko.Sijui ni kufundwa gani kunakohitajika Endapo Mtu aliyegombea Ubunge anadiriki kuchapisha T-Shirt za kufanyia Mocking M4C halafu anaendelea kuwa ndani ya Chama hicho hicho?Ni bora wafukuzwe hao waliothibitika/watakaothibitika kukihujumu chama.chama Cha ODM kina rekodi ya kuchukua Maamuzi magumu ,ADC na hata PF cha Zambia.

Kama ni kutofautina kimawazo nimetofautiana na nimeendelea bila kuhujumu transformation process.Kama watu wenye degree wanaweza kufanya hivi,tutegemee nini kutoka kwa viongozi wa mitaa,kata ambao kiwango chao cha elimu ni kidogo tena vijana wadogo kuliko hao?

Hizo expectation za materialism ni human nature.Hapo ni lazima utoe sacrifice kwa maslahi mapana coz kuna watu walikua na magari,Majumba na mali nyingine lakini walifilisika wakiwa wanakichangia chama na wengine kufungwa na hata kupoteza maisha.Hawakutoa sacrifice hii kubwa kwa ajili ya vijana wachache.they sacrificed for the right cause.Parsuing narrow interest hapa ni usaliti kwa mashujaa wetu hawa na harakati za mageuzi

The maintenance of the unity of the party is the gravest concern.If the party let itself be swayed, if it sacrificed the vital elements of its own democracy, it would succeed only in exacerbating its internal struggle and in shaking its cohesion. One cannot demand of the party confidence in the apparatus when he himself has no confidence in the party. There's the whole question. Preconceived bureaucratic distrust towards the party, towards its mind and its spirit of discipline, is the principal cause of all the evils engendered by the domination of the apparatus. The party does not want factions and will not tolerate them. It is monstrous to think that it will smash, or permit anybody to smash its apparatus. It knows that this apparatus is composed of the most valuable elements, embodying the greatest part of the past experiences. But it wants to renew it and to remind it that it is its apparatus, that it is elected by it and that it must not detach itself from it.

Tunapambana na adui ambaye ni CCM na mfumo mzima.Yet some people among us are hell bent trying to sabotage this grand mission by trivialize issues.Ni lazima hatua kali zichukuliwe tena kwa haki na kutoa fundisho.Tubakie na adui mmoja tu CCM.Ni bora wakatukane wakiwa nje ya party system kuliko ilivyo hivi sasa kwani hata wakitukana wakiwa nje matusi yao hayatakua mapya.Hivi sasa wanaweza wakaonekana ni reliable source of information kumbe wanapotosha tu.So ni lazima M4C ipite sasa ndani kwa ndani kusafisha kwanza na nitaunga mkono
 
Wewe na Ben Saanane hamna tofauti.Mmekua radical na mnaonyesha udikteta na ubabe.Afadhali Heche abakie kuwa mwenyekiti kuliko ben saanane kuchukua nafasi hiyo.atakua kama gaddafi.god forbid
Uwe makini,Udikteta wangu uko wapi?Siku watu wakimchagua dikteta kwa ballot boksi wakiwa wanajua misimamao yake basi huyo dikteta atakua anawafaaa.
 
bi Juliana Shonzi pitia na huu uzi uje kukanusha kilichoandikwa.kweli JF ni zaidi ya great thinking
 
Last edited by a moderator:
Haki sawa's Avatar
Senior Member Array

Join Date : 3rd October 2007
Posts : 212

Rep Power : 615

Likes Received
152
Likes Given
0

Default Mpango wa kuhujumu M4C na CHADEMA huu hapa - chukueni hatua..

Leo tarehe 29.08.2012 niko hapa maeneo ya Lumumba Kariakoo , kuna rafiki yangu alinialika mlo wa mchana katika moja ya migahawa ya hapa Lumumba na kuwa kwangu hapa niomekutana na tukio ambalo nimeamua niliweke hadharani kabla halijatokea kwani naamini kabisa kuwa lengo la mpango huu ni kuendelea kutugawa taifa kwa misingi ya Ukabila jambo ambalo sikubaliani nalo kama ambavyo ninapinga kugawa watanzania kwa misingi ya udini .

Mwigulu Nchemba , juzi jumatatu amechapisha tisheti zenye maandishi ya M4C – na ameweka maana kwenye hizo tisheti ambazo bado hazijaanza kugawanywa kuwa ni Movement 4 Chagga na ameweka maandishi makubwa kuwa changia Movement 4 Chagga (M4C), Zipo na zitaanza kugawanywa muda wowote .

Zoezi hili linaendena sambamba na operation ya Mwigulu ya kwenda Igunga eti kuelezea nini kilitokea mahakamani kwa wana Igunga , ziara hii imepangwa kuanza siku ya Jumamosi kwani alikuwa anasubiria FUSSO waliyonunua kwa shilingi milioni arobaini na tisa (49,000,000) na kuitengeneza kama za CDM ikamilike na walinunua vifaa Mlimani City tayari tangu wiki iliyopita.

Lengo la kuweka hapa ni kuwajulisha CDM wajue kuwa kuna mipango hiyo tayari imepangwa na inaendelea kutekelezwa , chukueni hatua .Aidha kuna vijana wenu watatu majina leo nayahifadhi wanafanya vikao vingi sana na Mwigulu na wa mwisho alipofika kwake wiki iliyopita alipewa shilingi laki nane , mara ya kwanza alipewa shilingi milioni tatu na huyu ametangaza rasmi kuwa atajiunga na CCM wakati wowote – fuatilieni waliogombea Bavicha na kushindwa na hata mmoja aliweza kushinda ila anawahujumu nyie CDM.

Sikubaliani na mipango ya kuligawa taifa kwa misingi ya Udini na Ukabila hivyo nitaipinga sana hata kama mtanijua LIWALO NA LIWE.

NI MIMI MPIGA FILIMBI-

Updates za leo jumapili tarehe 02.09.2012

Baada ya taarifa hii kurushwa hapa na mpango mzima kuwekwa hadharani , Mwigulu ameingia kwenye mgogoro mkubwa wa kifamilia na amefikia hatua ya kuwafukuza watoto wa kike aliokuwa anakaa nao nyumbani kwake Basihaya kuwa kuna nyaraka za vikao hazionekani na anaamini kuwa waliotoa taarifa hizi ni pamoja na wao. Hawa ni wale aliowatoa kijijini kwake kwa hoja kuwa atawasaidia kusoma lakini akawa anawafanya kama wake zake pindi mkewe akiwa hayupo .

Mkewe Mwigulu ni Mchagga wa Machame.


Kitendo cha kuwafukuza kikazua mambo mengine makubwa kati yake na watoto hao yakaibuliwa kwani wamemweleza Mkewe ambaye alikuwa msimamizi wa sensa mkoa wa Dodoma kuhusiana na jinsi alivyokuwa akiwalazimisha kufanya nao ngono kipindi akiwa hayupo na hali nyumbani imechafuka .
Kuhusu nyaraka anazodai kuwa zimeondolewa nyumbani kwake ni pamoja na zile za vikao kama bajeti za chama na nyinginezo mbalimbali za vikao mbalimbali vya CC ya CCM , NI lini zitawekwa hadharani nafikiri ni suala la muda tuu.

Fusso mpaka sasa bado ipo Tabata Dampo , inasubirio nini haijajulikana bado, kijana wake aliyemvisha zile t.shirts yaani James naye wamegombana sana kama ilivyo kwa wale vijana watatu wa CDM ambao walikuwa na mpango wa kujiunga na CCM sasa anawaona kama ni mashushushu waliotumwa kwenda kumchimba kwani amewaeleza kuwa haiwezekani kiasi cha pesa alichowapa kiweze kuandikwa bila wao kushiriki katika kutoa taarifa kwani hilo walifanya na mtu mmoja mmoja .

Kwa leo naishia hapo.

Last edited by Haki sawa; 2nd September 2012 at 10:21. Reason: up dates
 
Ukijiuliza swali ni kwa nini TPP, TLP, UMD, CCK Hakuna migogoro ndio utapata jibu rahisi sana. kama Chadema inadhani CCM ipo tayari kukabidhi Madaraka softly basi ni kujidanganya bure, CCM sasa inaendesha siasa haramu na ni Do or die. Chadema ni lazima iwe Radical na isicheke kabisa na watu wa Aina ya Juliana.
mkuu migogoro mingine cdm wanataka wenyewe.je huyu juliana kama kiongozi wa Bavicha je cdm wamemuita na kumsikiliza? Maana kuna tuhuma kuwa dr anamzuia huyu dada kufanya kazi za chama. Dr afafanue hili. Maana huyu dada hajasimamishwa uongozi. Aachwe afanye kazi yake.
 
Hatimaye kile kilichokuwa kumejificha sasa kimewekwa wazi kwamba Kiongozi mmoja wa ngazi ya juu wa Baraza la vijana-CHADEMA BAVICHA ndiye yuko katika harakati za kumchafua Kiongozi wa upinzani nchini Dr Wilbroad Slaa na ameapa kumuangamiza kisiasa kiongozi huyo kipenzi cha watanzania.

Taarifa za uhakika zilizoibuliwa na gazeti la Tanzania Daima Jumapili zinadai mkakati huo uliopangwa kwa ustadi mkubwa ulianza na Katibu wa Itikadi na uenezi Nape Nauye kuhoji sababu za Dr Slaa kumiliki kadi ya CCM huku akiwa kiongozi wa upinzani.

Baada ya tamko la Nape kundi hilo linaloongozwa na kiongozi huyo wa BAVICHA lilipokea mamilioni ya fedha kutoka kwa wanamkakati hao na kutakiwa kutembea nchi nzima kushinikiza Dr Slaa afukuzwe CHADEMA.

Mkakati wa kwanza ulianza juzi kwa mtu anayejiita mjumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA Eddo Mwamalala kuitisha mkutano na waandishi Dar na kutaka Dr Slaa atimuliwe mara moja kwa kumiliki kadi ya CCM.Kundi hilo litaendelea na ziara hizo wiki ijayo katika mikoa kadhaa.

Taarifa zinadai Dr Slaa amekuwa mwiba mchungu kwa chama tawala na chama hicho kiko hatarini kuondolewa madarakani.Inadaiwa mipango mbalimbali imepangwa kuhujumu CHADEMA na mkakati wa kwanza ni kumdhoofisha Dr Slaa.

Ingawa gazeti hilo halijamtaja kiongozi huyo wa BAVICHA lakini ni kwa muda mrefu sasa Makamu Mkiti wa BAVICHA Juliana Shonza amekuwa akihusishwa na makundi yanayomhujumu Mkiti wa BAVICHA John Heche.


Source: Tanzania Daima

Sasa nimeelewa kwamba ,kikundi cha masalia kilikuwepo , na kilikuwa na lengo la kukidhoofisha chama na kiliundwa na Mwampamba, Juliana na kundi lao la Masalia. Bali Saanane na Mamuya walikuwa wanatumika kama Intellijensia ya chama, hawa ndiyo walikuwa wanatoa taarifa kwa uwongozi wa juu wa chama kwamba nani ni msaliti , Wenyewe masalia hawakulielewa hili walifikiri Saanane na Mamuya ni wenzao kumbe walikuwa shushu, nina Uhakika Saanane na Mamuya walichukua form za kugombea uongozi bavicha ,walikuwa wanazuga ili kutambua wanaoenda kinyume na ni wakina nani , nafikiri walifanikiwa kuwajua na kuwaripoti kwenye uongozi wa juu wa chama, ndio uongozi wa juu wa chama ukawaengua baadhi ya wagombea kwa kashfa ya Rushwa kazi aliyo ifanya Saanane na Mamuya .

ukitaka kudhibitsha hilo utakugundua kwamba mkuu Saanane alikuwa anajipendekeza kwa masalia ili kujua mipango yao yote ,na akishajua anailipoti kwenye uongozi wa juu, ndio maaana uongozi wa juu ulikuwa unachukua Taadhari juu ya vijana masalia , kiasi kwamba vijana Masalia walikuwa wanaona wanatengwa , sababu walikuwa hawaijui.kumbe ni matendo yao . yliyokuwa ynaripotiwa na Mkuu Saanane na Mamuya. Saanane amefanyakazi ya Intellejensia vilivyo.

kama ni kweli Masalia walikuwa na lengo zuri kwa nini ,wameanza kufumuka baada ya Saa nane kuweka Mambo hadharani? walitakiwa watoe ripoti juu ya hili kwenye uongozi wa chama.kitambo tu kama walikuwa na nia njema. ukisoma maelezo ya Mwampamba na Juliana utagundua kwamba hawa watu walikuwa wana fadhiliwa na Zitto wakishilikiana na kafulila, wakati huohuo walikuwa wanajua kwamba Saanane ni mwenzao, kumbe alikuwa anawapeleleza.


kila mtu angependa role model wake awe raisi lakini sio kwa njia za kinafiki na uzandiki ,mimi Role model wangu ni Profesa Safari , ningependa awe raisi lakini sio kwa manufaa binafsi ni kwa manufaa ya chama , haina haja ya kuleta unafiki , na kutumia shortcuts kila mtu ajipange Chama kimpe baraka agombee lakini sio kwa kutumia unafiki, uzindaki ,uchawi . Siiungi Mkono kundi bali naunga mkono Maslai ya chama. Mwampamba na juliana shonza hamjakomaa bado,nyinyi na akina nape naona muko sawa . Mkuu Zitto nakuheshimu sana najua wewe ni jembe,lakini kuwa mvumilivu mvumilivu hula mbivu waangalie vijana wenzako Mnyika, Lissu ,Sillnde ,Msigwa, Vincent nyerere, Mdee, wanajenga chama , Achana na Kafurila hayapo kundini alishaondoka chadema zamaini, Achana na akina Shyrose Bhanji,achana na JK, achana na Wasira ungana viongozi wenzako wa JUU MBOWE na DR. Slaa mujenge Chama ,Unafiki hautakiwi. Watanzania tunakuamini kwamba ni kijana Tunaekutegemea baadaye kama kiongozi wa chini Lakini kwa sasa sifa zako zinapungua ,zinahamia kwa Mnyika ,Vincent Nyerere na Msigwa. Achana na Propaganda za ccm na NCCR ,kijenge chama mkuu. waambie wakina Mwampamba na Juliana waache Siasa za Maji taka Warudi kwenye mstarii wakijenge Chama.
Najua Dr. Kitila aliingia Kwenye Mkumbo bila yeye kujua, Nina uhakika kwa sasa ameshajua kwamba alikuwa anakitumikia chama au Mtu. na atajirekebisha


Mimi kila siku nabishana na Tuntemeke humu ndani JF kumbe nabishana na kundi la watu?
Kuna watu walikuwa wanamponda DR. Slaa nilifikiri ni magamba kumbe ni wanachadema wenzetu, hatari sana.


Tuache Siasa chafu Tukijenge Chama, "Maslahi ya Chama mbele"


jangakuu@yahoo.com
 
Back
Top Bottom