green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 11,305
- 35,852
F**ck u Israel
F**ck u Israel
Na wewe ukiliwa utalalamika???
kha...!!,ahmed yassin si kauawa miaka nane iliyopita kama sikosei,,,sasa huyu copycat katoka wapi?au alifufuka,wamemuua tena.?
No aliyeuwawa wakati ule alikuwa Twaha Yasin Ramadhan, nae alikuwa kiongozi mkubwa wa hamas
Mi nakumbuka kabisa hili tukio la kile kibabu kikiwa kwenye wheel chair kikitoka kuswali, kililipuliwa kwa kutumia Apache Helicopter equipped with Hell-fire missiles. Read read the link above.
Kuwaua viongoz wa hamas haitazima kamwe azma ya wapalestina kupambana na uzayuni
Kuwaua viongoz wa hamas haitazima kamwe azma ya wapalestina kupambana na uzayuni
kumbe wehu huwa wako wawili-wawili mwingine huyu wote hawa wanajidai nao ni waarabu koko!!!