EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,082
Ndugu zangu kuna tofauti kubwa kati ya amani ya kisiasa na amani ya Mungu.
Amani ya kisiasa inapatikana kwa kufuata sheria zilizomo ndani ya katiba ya nchi.
Wakati Amani ya Mungu inapatikana kwa kutii sheria za Mungu na kuyafuata na kuyatii maandiko ya Neno la Mungu.
Amani ya Mungu inauwezo wa kuleta amani ya kisiasa.
Amani ya kisiasa haina uwezo wa kuleta amani ya Mungu.
Nashangazwa sana na baadhi watumishi wa Mungu hasa maaskofu badala ya kuhubiria watu wapate Amani ya Mungu wao wanatumia nguvu nyingi kuhubiria watu wapate amani ya kisiasa.
Maasikofu wamesahau wajibu wao, sasa wanatumia nguvu nyingi. Wanahubiria watu ili waingie kwenye ufalme wa ikulu badala ya kuhubiria watu waingie kwenye ufalme Mbinguni.
Mungu tusaidie sana, Yesu alipokuja duniani hakuhangaika na amani za kisiasa hakuhangaika na ufalme wa dunia hii kama jinsi ambavyo tunawaona baadhi ya maasikofu wanahangaika na kujitutumuakuhubiri hadharani kabisa na kuzungumzia amani ya kisiasa.
Askofu inatakiwa uitafute amani ya Mungu, kwa kuwahubiri watu waokoke sio kunga'ng'ana kudai katiba mara tume huru.
Askofu katiba yako ni biblia hubiri watu waokoke amani ya kisiasa na tume unayoitaka iko ndani ya biblia humo. Hubiri watu waokoke wote watakua na amani.
Acha uvivu na kuanza kutumia nguvu ya akili. Rahasha hiyo sio njia sahihi. wewe inatakiwa utumie nguvu ya imani na kuomba tena ukiwa peke yako sio kutangaza hadharani.
Rejea
Amani ya kisiasa inapatikana kwa kufuata sheria zilizomo ndani ya katiba ya nchi.
Wakati Amani ya Mungu inapatikana kwa kutii sheria za Mungu na kuyafuata na kuyatii maandiko ya Neno la Mungu.
Amani ya Mungu inauwezo wa kuleta amani ya kisiasa.
Amani ya kisiasa haina uwezo wa kuleta amani ya Mungu.
Nashangazwa sana na baadhi watumishi wa Mungu hasa maaskofu badala ya kuhubiria watu wapate Amani ya Mungu wao wanatumia nguvu nyingi kuhubiria watu wapate amani ya kisiasa.
Maasikofu wamesahau wajibu wao, sasa wanatumia nguvu nyingi. Wanahubiria watu ili waingie kwenye ufalme wa ikulu badala ya kuhubiria watu waingie kwenye ufalme Mbinguni.
Mungu tusaidie sana, Yesu alipokuja duniani hakuhangaika na amani za kisiasa hakuhangaika na ufalme wa dunia hii kama jinsi ambavyo tunawaona baadhi ya maasikofu wanahangaika na kujitutumuakuhubiri hadharani kabisa na kuzungumzia amani ya kisiasa.
Askofu inatakiwa uitafute amani ya Mungu, kwa kuwahubiri watu waokoke sio kunga'ng'ana kudai katiba mara tume huru.
Askofu katiba yako ni biblia hubiri watu waokoke amani ya kisiasa na tume unayoitaka iko ndani ya biblia humo. Hubiri watu waokoke wote watakua na amani.
Acha uvivu na kuanza kutumia nguvu ya akili. Rahasha hiyo sio njia sahihi. wewe inatakiwa utumie nguvu ya imani na kuomba tena ukiwa peke yako sio kutangaza hadharani.
Rejea
Amani - Wikipedia, kamusi elezo huru
sw.m.wikipedia.org