Kiongozi wa dini asiyejua kusamehe, vyeti vyetí mpaka lini

raisi2020

Member
Mar 4, 2016
82
83
Naanza kupata shida na hofu kwa baadhi ya viongozi wa dini ktk kuingia ktk siasa, kuna kiongozi mmoja wa dini alitajwa ktk inshu flan flan, ok inawezekana ikawa alitajwa kwa njia sahihi ama si sahihi, ili kila mtu anajua anavyotafsiri,

lakini yule aliyemtaja anamshambulia ktk madhabau kila kukicha kama vile hajui kusamehe kama kiongozi wa dini, ushauri umeshaongea umesikika samehe wewe ni mkristo, kila kukicha vyeti vyeti, mfukuze wewe basi kama una mamlaka, na pia serikali ina intelejensia kubwa kuliko ww, kama ni feki ama si feki mtajua tu
 
Naanza kupata shida na hofu kwa baadhi ya viongozi wa dini ktk kuingia ktk siasa,kuna kiongozi mmoja wa dini alitajwa ktk inshu flan flan,ok inawezekana ikawa alitajwa kwa njia sahihi ama si sahihi,ili kila mtu anajua anavyotafsiri,lakini yule aliyemtaja anamshambulia ktk madhabau kila kukicha kama vile hajui kusamehe kama kiongozi wa dini,ushauri umeshaongea umesikika samehe wewe ni mkristo,kila kukicha vyeti vyeti,mfukuze wewe basi kama una mamlaka,napia serikali inaintelejensia kubwa kuliko ww,kama ni feki ama si feki mtajua tu
Wezi wa vyeti utawajua tu
 
Naanza kupata shida na hofu kwa baadhi ya viongozi wa dini ktk kuingia ktk siasa,kuna kiongozi mmoja wa dini alitajwa ktk inshu flan flan,ok inawezekana ikawa alitajwa kwa njia sahihi ama si sahihi,ili kila mtu anajua anavyotafsiri,lakini yule aliyemtaja anamshambulia ktk madhabau kila kukicha kama vile hajui kusamehe kama kiongozi wa dini,ushauri umeshaongea umesikika samehe wewe ni mkristo,kila kukicha vyeti vyeti,mfukuze wewe basi kama una mamlaka,napia serikali inaintelejensia kubwa kuliko ww,kama ni feki ama si feki mtajua tu
Unamaanisha amasamehe BASHITE kwa kufoji vyeti??
 
Jinai hainaga msamaha ndiyo maana Bashite ametorokea South Africa.

Hapa cheti tu
b75791df5a03f36fe5872bc05a153da9.jpg
 
Naanza kupata shida na hofu kwa baadhi ya viongozi wa dini ktk kuingia ktk siasa,kuna kiongozi mmoja wa dini alitajwa ktk inshu flan flan,ok inawezekana ikawa alitajwa kwa njia sahihi ama si sahihi,ili kila mtu anajua anavyotafsiri,lakini yule aliyemtaja anamshambulia ktk madhabau kila kukicha kama vile hajui kusamehe kama kiongozi wa dini,ushauri umeshaongea umesikika samehe wewe ni mkristo,kila kukicha vyeti vyeti,mfukuze wewe basi kama una mamlaka,napia serikali inaintelejensia kubwa kuliko ww,kama ni feki ama si feki mtajua tu
Yaani nashangaa eti Madawa =vyeti vya kufoji; hesabu ya wapi hii??
 
Hata hao waumini hawachoki kusikia tu vyeti muda wote kila wanapoenda/kila wanapokuwa;

-Nyumbani~cheti
-shuleni~cheti
-harusini-cheti
-mtaani~cheti
-facebook~cheti
-instagram~cheti
-JamiiForum~cheti
-
-
-
kanisani(muda wa ibada)~cheti

Sasa kama mpaka kanisani tena masuala ya cheti si bora watu wabaki majumbani waendelee kupiga stori za vyeti?

Uzuri wake alishalizungumzia hivyo angekaa kimya aone kinachoendelea...

Nb;
Binafsi nahuzunishwa na suala la kutokuonesha vyeti ila si kila mahali nitalizungumzia hili.

Tena mpaka sakala hili linaisha inaweza tokea hata ndoa za watu kuvunjika maana unaweza kuta kila mtu badala azungumze masuala yake kulingana na mahali alipo unakuta anakazania Bashite Bashite Bashite....
 
  • Thanks
Reactions: Mj1
Naanza kupata shida na hofu kwa baadhi ya viongozi wa dini ktk kuingia ktk siasa,kuna kiongozi mmoja wa dini alitajwa ktk inshu flan flan,ok inawezekana ikawa alitajwa kwa njia sahihi ama si sahihi,ili kila mtu anajua anavyotafsiri,lakini yule aliyemtaja anamshambulia ktk madhabau kila kukicha kama vile hajui kusamehe kama kiongozi wa dini,ushauri umeshaongea umesikika samehe wewe ni mkristo,kila kukicha vyeti vyeti,mfukuze wewe basi kama una mamlaka,napia serikali inaintelejensia kubwa kuliko ww,kama ni feki ama si feki mtajua tu
Sisi wakristo ukiiba ili usamehewe rejesha ulichoiba kwanza kisha msamaha. Alete vyeti kisha asamehewe.
 
Back
Top Bottom