jd41
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,756
- 4,842
Kiongozi wa ACT Wazalendo Ndg. Zitto Z. Kabwe akiwa ameambatana na Kaimu Katibu Mkuu Dorothy Semu, na Katibu Mwenezi Addo Shaibu wamekabidhi tshs. milioni mbili, kusaidia kulipa fine zinazowakabili viongozi wa Chadema baada ya kuhukumiwa jana mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Zitto pia ameahidi kuwahamasisha wapenzi na wanachama wa ACT Wazalendo kuwachangia Chadema ili kukamilisha zoezi hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Zitto pia ameahidi kuwahamasisha wapenzi na wanachama wa ACT Wazalendo kuwachangia Chadema ili kukamilisha zoezi hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app