Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,327
Kiongozi wa uv-ccm amekamatwa akiwa na bastola kwenye kuto cha kupigia kura cha Butengi huko serengeti, amekamatwa na kina John Heche na amepelekwa kituo cha polisi.
Wakati huo huo vijana kadhaa wa chadema wamekamatwa na mkuu wa wilaya wa Bunda anaye kaimu wilaya ya serengeti na kupelekwa kusiko julikana, wamekamatwa na kupakiwa kwenye gari namba STK 3048 na gari nyingine toyota land cruiser namba T622BFJ.
Nitaendelea kuwajuza kadri ninavyo pokea updates kutoka kwa John Heche.
More updates kutoka kwa John Heche..
"Vijana zaidi ya 30 wa chadema wametekwa na wamefungiwa kwenye ya ccm"
"Pikipiki zetu 5 zimechukuliwa kinguvu na vijana wa green guard na wamezifungia pia kwenye moja ya vyumba kwenye ofisi ya ccm"
Miongoni mwa majina ya vijana walio tekwa.
1. Barena Maro- Bwitengi
2. Samson Ogao- Rwamchanga
3. ADAM Samson- Bwitengi
4. Emanuel Eliya-Bwitengi
5. Onyango Otaro- Miseke
6. MAnginare Samson- Miseke
7. ELIJA Wilson-miseke
Mengine yanakuja.
8. Banage Nanai- Rwamchanga
9. Matororo Saina-Rwamchanga
10. Pikipiki simba- Rwamchanga
11. JOHN ONINGA-RWAMCHANGA
12. Richard christopher
13. Baraka nestory
14. Mwl makima
Peter john odao
"Miongoni kuna kijana mmoja alifanikiwa kuwatoroka, wamechania nguo na kumnyang'anya kitambulisho chake cha kupigia kura"
"Tumeenda kuwaomba Polisi wakatoe msaada ili vijana wetu watoke na kuja kushiriki kwenye zoezi la kupiga kura Polisi wamekataa"
"Hizi ndio namba za magari yaliyo kuwa yanawateka vijana wa CHADEMA T 286 BFB, T545 BFE, zote Landcruiser za Ccm, na T.352 HAD.
Zilikuwa zinaendesha Operation kukamata wafuasi wetu na kuwaficha kusikojulikana".
" Nimeongea na kamanda Andengeye amekubali kupeleka vijana wake kwa ajili ya kwenda kuwa- rescue
vijana wetu wanao shikiliwa kwenye ofisi za ccm"
"Polisi wamesha wachukua vijana wetu wapatao 100 walio kuwa wameshikiliwa kwenye ofisi ya ccm na sasa wanaandikiisha maelezo kwenye kituo cha polisi".
"Cha kusikitisha hawa vijana hawezi kupiga kura tena maana muda wa kupiga kura umekwisha, hizi ni hujuma za wazi ili kuhakikisha hatushindi"
"Vijana waliokuwa wametekwa na kupigwa baada ya kuhojiwa na Polis wamenyimwa PF3 na simu zao walizo nyang'anywa"
» Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums.
Wakati huo huo vijana kadhaa wa chadema wamekamatwa na mkuu wa wilaya wa Bunda anaye kaimu wilaya ya serengeti na kupelekwa kusiko julikana, wamekamatwa na kupakiwa kwenye gari namba STK 3048 na gari nyingine toyota land cruiser namba T622BFJ.
Nitaendelea kuwajuza kadri ninavyo pokea updates kutoka kwa John Heche.
More updates kutoka kwa John Heche..
"Vijana zaidi ya 30 wa chadema wametekwa na wamefungiwa kwenye ya ccm"
"Pikipiki zetu 5 zimechukuliwa kinguvu na vijana wa green guard na wamezifungia pia kwenye moja ya vyumba kwenye ofisi ya ccm"
Miongoni mwa majina ya vijana walio tekwa.
1. Barena Maro- Bwitengi
2. Samson Ogao- Rwamchanga
3. ADAM Samson- Bwitengi
4. Emanuel Eliya-Bwitengi
5. Onyango Otaro- Miseke
6. MAnginare Samson- Miseke
7. ELIJA Wilson-miseke
Mengine yanakuja.
8. Banage Nanai- Rwamchanga
9. Matororo Saina-Rwamchanga
10. Pikipiki simba- Rwamchanga
11. JOHN ONINGA-RWAMCHANGA
12. Richard christopher
13. Baraka nestory
14. Mwl makima
Peter john odao
"Miongoni kuna kijana mmoja alifanikiwa kuwatoroka, wamechania nguo na kumnyang'anya kitambulisho chake cha kupigia kura"
"Tumeenda kuwaomba Polisi wakatoe msaada ili vijana wetu watoke na kuja kushiriki kwenye zoezi la kupiga kura Polisi wamekataa"
"Hizi ndio namba za magari yaliyo kuwa yanawateka vijana wa CHADEMA T 286 BFB, T545 BFE, zote Landcruiser za Ccm, na T.352 HAD.
Zilikuwa zinaendesha Operation kukamata wafuasi wetu na kuwaficha kusikojulikana".
" Nimeongea na kamanda Andengeye amekubali kupeleka vijana wake kwa ajili ya kwenda kuwa- rescue
vijana wetu wanao shikiliwa kwenye ofisi za ccm"
"Polisi wamesha wachukua vijana wetu wapatao 100 walio kuwa wameshikiliwa kwenye ofisi ya ccm na sasa wanaandikiisha maelezo kwenye kituo cha polisi".
"Cha kusikitisha hawa vijana hawezi kupiga kura tena maana muda wa kupiga kura umekwisha, hizi ni hujuma za wazi ili kuhakikisha hatushindi"
"Vijana waliokuwa wametekwa na kupigwa baada ya kuhojiwa na Polis wamenyimwa PF3 na simu zao walizo nyang'anywa"
» Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums.