Kiongozi Mwenge wa Uhuru agoma kuzindua miradi ya maji, barabara

kajifunze uelewe jinsi uendeshaji Halmashauri ulivyo. Ila honest ni kweli Mbunge wa Tarime ni mpiga Kelele kama ulivyosema.
Kazi ya mhandisi wa wilaya ni nini?
Je mradi wa hilo daraja uko TARURA au TANROADS?
Mainjinia kote huko kumejaa mainjinia na miradi inategemea iko chini ya nani na ndo wanairatibu. Mbuge ni mpiga kelele kuomba hiyo miradi,inapoletwa sidhani kama yeye tena ni msimamizi.
 
kajifunze uelewe jinsi uendeshaji Halmashauri ulivyo. Ila honest ni kweli Mbunge wa Tarime ni mpiga Kelele kama ulivyosema.
And that is the only task for the MP
Lazima apige kelele kuomba miradi ya maendeleo....kazi ya serikali ni kuleta maendeleo yanayopigiwa kelele na wabunge. Endeleeni kupiga ramli.
 
Vipimo vya nondo viko takriban vinne mkuu, katika miradi au ujenzi mkubwa lazima ufanye test mfano "tensile test" ya Nondo kabla ya kutumia,au it's very simple
Hivyo hao wahusika walipaswa kua na ripoti Inaonyesha vipimo
Nilifikiri wakati wa uzalishaji vipimo hivi ufanyika na ndiyo maana wazalishaji wanapewa leseni za viwango za TBS na zile zinazotoka nje pia zinatakiwa kupimwa na kuidhinishwa na TBS. Je alitaka vipimo vya kila kifaa kilichotumika hapo?
 
Nilifikiri wakati wa uzalishaji vipimo hivi ufanyika na ndiyo maana wazalishaji wanapewa leseni za viwango za TBS na zile zinazoyoka nje pia zinatakiwa kupimwa na kuidhinishwa na TBS. Je alitaka vipimo vya kila kifaa kilichotumika hapo?
TBS wao wanapima kutoka kiwandani, hapo wanapima on site, Mimi nafahamu vipimo vya site mkuu
 
Madiwani sio wataalamu wa ujenzi (Engineers) .Wahandisi walioko mikoani na wilayani ndio wana jukumu la kusimamia ujenzi wote na kutoa ripoti.
Hujui kazi za diwani, mradi ukienda mrama ndani ya halimashauri ujue madiwani wamehusika kwa namna moja ama nyingine .
Wao ndio wakaguzi full time kuhakikisha walichokipitisha ndicho kinafanyika, hawawezi kwepa lawama.

Ndio maana wana Mandate ya kukataa mtendaji yoyote Yule ndani ya eneo lao Kama anatenda ndivyo sivyo. Na miradi pia.
Walikua wapi kubaini mapungufu mpaka kiongozi wa mwenge Kaja kuyabaini?

Nakuhakikishia mapungufu ya miradi hiyo wamehusika kwa kushirikiana na mainjinia kupiga pesa ya mradi
 
Nyie wadeki barabara mnayumba sana, mnakimbia kimbia hovyo Kama nyumbu.
hivi mwenyekiti wa Halmashauri ya Tarime ni wa chama gani? Hufahamu Kama mbunge ni diwani wa Halmashauri?
Nyumbu kabisa,hivi miradi ikienda sawa si ndo mnasema mmetekeleza ilani ya chama?sasa mbona ikienda vibaya hamsemi kwamba ni moja ya ilani ya chama?let's talk about dar es salaam tunamuona makonda kila siku anapiga kelele kwamba miradi inatekelezwa na ccm kwani pale hujui kwamba mayor ni wa chadema?use common sense man usiwe mchumia tumbo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom