Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,087
- 17,124
Kenya mnasema wana Katiba nzuri, je wamemaliza matatizo?Katiba ni kila kitu wewe, acha ujinga
Vipi SAfrica unadhani wananchi wana raha na nchi yao inayosifika kuwa na Katiba bora kabisa?
Fanya kazi kijana upate hela, Katiba ni struggle kati ya waliopo madarakani dhidi ya wanaotaka kuingia madarakani