Kulinga na taharifa ya habari ya BBC leo asubuhi, kiongozi wa alijitangazia ushindi katika kura ambayo imekuwa ni aibu kwa africa Robert Mugabe amesema kiongozi yeyote aliye msafi africa na amwambie kuwa hajashinda kihalali ili na yeye amuulize kwake yeye alishinda kihalali au alishinda kwa njia gani.
Alisema maneno hayo jana baada ya kuapishwa kuwa raisi wa zimbabwe kwa kipindi kingine kwa madai ya ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi wa upande mmoja baada ya mpinzani wake Morgan shivangarai kujitoa kwa madai ya serikali na vikundi vya siri vya raisi Mugabe kushambulia watu wanaosuport upinzani.
Alisema maneno hayo jana baada ya kuapishwa kuwa raisi wa zimbabwe kwa kipindi kingine kwa madai ya ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi wa upande mmoja baada ya mpinzani wake Morgan shivangarai kujitoa kwa madai ya serikali na vikundi vya siri vya raisi Mugabe kushambulia watu wanaosuport upinzani.