Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,644
- 12,245
Wadau heshima kwenu wote.
Nilipokuwa mdogo na hata wakati nasoma sekondari,nilipata kusikia kuwa kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa huwa hawaishi muda mrefu,mara baada ya kumaliza kukimbiza mwenge,niliambiwa huishi si zaidi ya miaka mitano tokea awe kiongozi wa mbio za mwenge.
Wakaendelea kudai ile kazi ni ya kuchosha mwili na akili,japokuwa malipo yake huwa ni makubwa.
Leo nikasema ngoja niwaulize wajuzi wa mambo walioko JF,je hiyo dhana nilihadithiwa zamani ina ukweli wowote?
Ningefurahi pia kupata listi ya wakimbiza mwenge wa uhuru tokea 2005-2015 ambao bado wako hai kama reference.
Ramadhani Kareem!
Nilipokuwa mdogo na hata wakati nasoma sekondari,nilipata kusikia kuwa kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa huwa hawaishi muda mrefu,mara baada ya kumaliza kukimbiza mwenge,niliambiwa huishi si zaidi ya miaka mitano tokea awe kiongozi wa mbio za mwenge.
Wakaendelea kudai ile kazi ni ya kuchosha mwili na akili,japokuwa malipo yake huwa ni makubwa.
Leo nikasema ngoja niwaulize wajuzi wa mambo walioko JF,je hiyo dhana nilihadithiwa zamani ina ukweli wowote?
Ningefurahi pia kupata listi ya wakimbiza mwenge wa uhuru tokea 2005-2015 ambao bado wako hai kama reference.
Ramadhani Kareem!