Ninani huyo? yule "Mmsoga" maana ukiandika kabila lake wengine wana sema matusi sasa atakuwa "mmsoga" futeni na hiliMateja wameongezeka kwa kasi,watoto ombaomba wamejaa tele, wananchi wanapigwa risasi bila sababu za msingi,hospitali hazina madawa, pesa yetu inashuka thamani kwa kasi,bidhaa bei juu,elimu duni,yy amekaa kimya tuu,ametususa?kuna haja ya kuwa naye?
Mateja wameongezeka kwa kasi,watoto ombaomba wamejaa tele, wananchi wanapigwa risasi bila sababu za msingi,hospitali hazina madawa, pesa yetu inashuka thamani kwa kasi,bidhaa bei juu,elimu duni,yy amekaa kimya tuu,ametususa?kuna haja ya kuwa naye?