Kiongozi huyu kwa mawe na viboko ataelewa tabu na mateso yetu tuyopata wa tz

frozen

Senior Member
Aug 12, 2010
135
32
Mateja wameongezeka kwa kasi,watoto ombaomba wamejaa tele, wananchi wanapigwa risasi bila sababu za msingi,hospitali hazina madawa, pesa yetu inashuka thamani kwa kasi,bidhaa bei juu,elimu duni,yy amekaa kimya tuu,ametususa?kuna haja ya kuwa naye?
 
****** anapanga namna ya kuchukua fungua lake kule h/quarter canada kuhusu madini yetu aliyoruhusu yawanufaishe wawekezaji wa kigeni
 
Dunia Sasa Imani imekwisha ppapaappapraa Si kwa wakubwa eeehh si kwa watoto papapapprrrpaaarrraa Mioyo ya watu Imebadirika ppiippiipwepeee Kwenye watu Kumi Binaadamu Mmmojaa!! Wote Tunakwenda mzabwa mzabwa!!
 
Mateja wameongezeka kwa kasi,watoto ombaomba wamejaa tele, wananchi wanapigwa risasi bila sababu za msingi,hospitali hazina madawa, pesa yetu inashuka thamani kwa kasi,bidhaa bei juu,elimu duni,yy amekaa kimya tuu,ametususa?kuna haja ya kuwa naye?
Ninani huyo? yule "Mmsoga" maana ukiandika kabila lake wengine wana sema matusi sasa atakuwa "mmsoga" futeni na hili
 
Mateja wameongezeka kwa kasi,watoto ombaomba wamejaa tele, wananchi wanapigwa risasi bila sababu za msingi,hospitali hazina madawa, pesa yetu inashuka thamani kwa kasi,bidhaa bei juu,elimu duni,yy amekaa kimya tuu,ametususa?kuna haja ya kuwa naye?

hakuna haja kabisa
 
Back
Top Bottom