Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Wakubwa,
Najaribu kujiuliza tu baada ya mpendwa wetu Nelson Madiba Mandela kututoka na kuagwa na viongozi wakubwa wa Dunia na Serikali ya Uingereza kuagiza bendera kupepea nusu mlingoti katika ofisi zake zote.Je ni ,iongozi gani ambaye Africa tumebaki naye ambaye siku mungu akichukuwa uhai wake anaweza enziwa na kuagwa na viongozi wakubwa Duniani.
Wakuu mie bado natafakari tu.Tanzania hatuna
Najaribu kujiuliza tu baada ya mpendwa wetu Nelson Madiba Mandela kututoka na kuagwa na viongozi wakubwa wa Dunia na Serikali ya Uingereza kuagiza bendera kupepea nusu mlingoti katika ofisi zake zote.Je ni ,iongozi gani ambaye Africa tumebaki naye ambaye siku mungu akichukuwa uhai wake anaweza enziwa na kuagwa na viongozi wakubwa Duniani.
Wakuu mie bado natafakari tu.Tanzania hatuna